Recent content by TheHk

  1. T

    JamiiForums Tanzania Asante Kikwete kutupatia Maghufuli, bila yeye sijui ingekuwaje?

    Nipo tofauti sana na wanaofurahia utawala wa jpm. Mimi binafsi sijaona mabadiliko kati ya sekondari iliyopita ya jk na serikali hii kwa maisha ya mwananchi wa kawaida. Hakuna kitu kilichopungua bei. Tifauti kubwa ni taarifa za kutumbuliwa majipu na ziara za kustukiza tu.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Mikadi Beach Sio Salama Siku Za Sikukuu

    Kingine ambacho hakijatajwa na mabinti kubakwa ndani ya maji. Wengine kwa kutaka wenyewe na wengine kwa kulazimishwa. Tena wasichana wanaopendwa ni wale wavaao vigauni au visketi. Wale wa Suruali au pensi mara nyingi huwa salama. Vijana wanaofanya upuuzi huo mtaji wao huwa ni Boya tu. Kwa...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Kashfa: Mradi wa nyumba 73 za ndugu Masamaki wa TRA

    Nakumbuka jk alisema anawalipa vizuri TRA ili wakusanye kodi vizuri. Matokeo yake mmmmm
  4. T

    JamiiForums Tanzania David Mataka akutwa na kesi ya kujibu

    Naona watu wanagunguka makubwa. Mpaka yale yasiyohusiana na kesi yake.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Mtume wa Mungu wa umoja wa mataifa....anaishi Tanzania

    Anasema alikataa kupangisha nyumba yake kwa sababu watu wanatumwa kumchunguza mtume. Anavaa chupi tatu. Na anahifadhi redio na simu ndani ya chupi ili asiibiwe. Duniani kuna mambo
  6. T

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Ilala Bungoni wauzwa kwa mwekezaji

    This is Tanzania.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Tanzia: Mwanachama mwenzetu wa JamiiForums, Msamiati afariki dunia

    RIP Msamiati. Inna Lillahi wa inna ilaihi rajiuun.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Zitto: Iundwe Tume huru ya kimahakama kulichunguza suala la Richmond

    Nani kamwambia Zzk kuwa Mahakama ni chombo huru?
  9. T

    JamiiForums Tanzania Msaada: Maana ya ugaidi

    Gaidi ni mtu yeyote anayehujumu uchumi kwa lengo la kudai haki yake ambayo anadhani imeminywa na tabaka fulani. Vitendo anavyofanya ni kama kubomoa madaraja na majengo ya kiuchumi na mara nyingine hata kuua watu ambao anadhani wana uhusiano na tabaka linalomnyonya au kumnyima haki yake. Na...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Manji atangaza kuwa atajiuzulu Yanga iwapo aliyosema Mengi yatakuwa ni kweli

    Kwani tuhuma dhidi yake zinahusika nini na Yanga? Labda aseme anataka kuutua mzigo wa kuendesha timu. Lakini haiingii akilini kuhusisha yanga na Mengi
  11. T

    JamiiForums Tanzania Soma alichokiandika Makongoro Nyerere katika ukurasa wake facebook!!

    Kuna jipya gani hapo kwenye maandiko ya Makongoro?
  12. T

    JamiiForums Tanzania WADHAMINI WA WAGOMBEA CCM na Elfu ISHIRINI ya Usumbufu

    Kumbe ndio maana wanajazana wakisikia watu fulani fulani wamefika kuomba udhamini!!
  13. T

    JamiiForums Tanzania Kati ya Ridhiwani na Baba Ridhi, nani muongo?

    Mrisho Kikwete ni baba yake Jakaya, umemnukuu vibaya
Back
Top Bottom