Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,654
- 18,801
Ruttashobolwa Hapa umepitia maana siamini kama umeona hapa!
Last edited by a moderator:
Babu yake na ri1 hata SAME alishawahi kuwa dc
source; mimi na wewe online
Kwamfano riz 1 akija hapa akasema hamna kitu kama hicho msura wako utauficha wapi!
fisadi rizi atakuwa anamaanisha babu yake
Kwamfano riz 1 akija hapa akasema hamna kitu kama hicho msura wako utauficha wapi!
Sio utani kama ulishazikilza hotuba za mh.jk akiwa mkoani Kilimanjaro ndio utakubaliana na mimi
Umeona eeh?
Sasa nikisema huyo shule aliyoenda alienda kusomea ujinga ntakuwa nimekosea?
Nimejikuta kuwavumbua waongo mwaka huu. Katika pita pita zangu Istagram.. Kunradhi kaka yenu ni mara ya kwanza naingia humu basi nakutana na uongo na maajabu ya kutosha naona labda nishea humu nitapata uvumbuzi...
Leo ni Ridhiwani kaweka picha hii ikionesha mwaka 1958 muheshimiwa Raisi Kikwete alikuwa mkuu wa wilaya Pangani lakini Wikipedia inasema alizaliwa october 1953.
Ina maana Mkwere aliongoza wilaya akiwa na miaka mitano au Ridhiwani katupiga changa la macho?
Bofya HAPA (Wikipedia) kuona umri wa Raisi.
View attachment 257125View attachment 257125
Nani katudanganya?
Si kosa lako ni kosa la kutokujua historia ya Tanzania na Tanganyika. Huyo unayemwona hapo ni Mzee Mrisho Kikwete babu yake na Rizi au baba Mzazi wa Mhe. Jakaya M. Kikwete. Kwa jinsi hii wewe ndo ulitaka kupotosha umma. Na kwa Taarifa yako Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete alizaliwa mwaka 1950 siyo 1953. Lakini ungenyamaza na wengine kama wewe wangeshindwa kuelewa. Kama una swali jingine karibu sana.Nimejikuta kuwavumbua waongo mwaka huu. Katika pita pita zangu Istagram.. Kunradhi kaka yenu ni mara ya kwanza naingia humu basi nakutana na uongo na maajabu ya kutosha naona labda nishea humu nitapata uvumbuzi...
Leo ni Ridhiwani kaweka picha hii ikionesha mwaka 1958 muheshimiwa Raisi Kikwete alikuwa mkuu wa wilaya Pangani lakini Wikipedia inasema alizaliwa october 1953.
Ina maana Mkwere aliongoza wilaya akiwa na miaka mitano au Ridhiwani katupiga changa la macho?
Bofya HAPA (Wikipedia) kuona umri wa Raisi.
View attachment 257125View attachment 257125
Nani katudanganya?
Nimejikuta kuwavumbua waongo mwaka huu. Katika pita pita zangu Istagram.. Kunradhi kaka yenu ni mara ya kwanza naingia humu basi nakutana na uongo na maajabu ya kutosha naona labda nishea humu nitapata uvumbuzi...
Leo ni Ridhiwani kaweka picha hii ikionesha mwaka 1958 muheshimiwa Raisi Kikwete alikuwa mkuu wa wilaya Pangani lakini Wikipedia inasema alizaliwa october 1953.
Ina maana Mkwere aliongoza wilaya akiwa na miaka mitano au Ridhiwani katupiga changa la macho?
Bofya HAPA (Wikipedia) kuona umri wa Raisi.
View attachment 257125View attachment 257125
Nani katudanganya?
sasa kaaibika kivp wakati alishasema kaingia umu ili wenye uelewa wamueleweshe na ameshukulu kwa kuelimishwa?ebu niambie iyo aibu aliyo ipata.
.huyo nimzee mrisho siyo jakaya pole kwa kushindwa kutofautisha msalaba na jumlishaNimejikuta kuwavumbua waongo mwaka huu. Katika pita pita zangu Istagram.. Kunradhi kaka yenu ni mara ya kwanza naingia humu basi nakutana na uongo na maajabu ya kutosha naona labda nishea humu nitapata uvumbuzi...
Leo ni Ridhiwani kaweka picha hii ikionesha mwaka 1958 muheshimiwa Raisi Kikwete alikuwa mkuu wa wilaya Pangani lakini Wikipedia inasema alizaliwa october 1953.
Ina maana Mkwere aliongoza wilaya akiwa na miaka mitano au Ridhiwani katupiga changa la macho?
Bofya HAPA (Wikipedia) kuona umri wa Raisi.
View attachment 257125View attachment 257125
Nani katudanganya?