Recent content by thegreat1510

  1. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu ana ana uzeofu na utomation ya trading strategy yake forex?

    Asante sana mkuu, imewachukua muda gani kulitengeneza pia ningependa kufahamu kama kuna gharama zaidi zinatumika hadi kukamilisha.
  2. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu ana ana uzeofu na utomation ya trading strategy yake forex?

    Habari wanajamii forum, Naomba experience kwa wadau wa forex. Nimekuwa niki trade pullbacks strategy kwa muda hasa baada ya kusoma kitabu cha Al brook nikasema acha ni focus na hii, Win rate kila niki analyse per day ni 80% hadi 90% but shida moja tu discipline, Unaanza week na discipline...
  3. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya leo ya Dr Emmanuel Nchimbi imethibitisha kuwa hana nguvu yoyote serikalini

    Hao watekaji anashindwa nini kuwachukulia hatua ?
  4. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya leo ya Dr Emmanuel Nchimbi imethibitisha kuwa hana nguvu yoyote serikalini

    Yupo upande wa victims of a system, naye anategemea sauti za wananchi wanaoweka maisha yao hatarani kwa kuwasemea watanzania. Kwa mamlaka ya makamu wa raisi tu angebadilisha mambo mengi sana.
  5. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Vita ya Iran na Marekani, kwasasa Israel kajitenga, je ni sababu hatusikii tena vifo vya viongozi wa Irani na mashambulizi kwenye maeneo nyeti

    Kuna uwezekano Israel ikimuachia US apambane mwenyewe vita itakuwa kama ya Russia na Ukraine, haiishi ni milipuko tu ya kujibizana. Tofauti na Kama Israel ikiingilia kati. Huenda ndiyo sababu pia Irani hawaishambulii Israel, wanaishia Bahrain, Saudi nk.
  6. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Dilemma yangu kubwa ni hii: Je ngono ita unlock matatizo zaidi?, msaada!.

    Ndugu zangu wanajf, Hili ni jambo linaloumiza akili yangu sana. Sipo kwenye mahusiano yoyote rasmi ila kuhusu uzinzi kila nikitaka kuita dem gheto najikuta nina dilemma hii kubwa. Je ngono itaongeza nini kwangu, swali hili hunifanya niishie kujichukulia sheria mkononi baada ya kutathamini...
  7. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Nimetengenezewa kesi ya wizi wa mamilioni kwa lengo la kunipoteza

    Kama sio kweli potezea
  8. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Ni utaratibu gani wa kufuata ili kuanzisha nchi?

    Hakikisha una nuclear kwanza
  9. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania House4Rent Nyumba inapangishwa Sinza - Kodi TZS 2Million kwa mwezi

    Hivi kujenga mjengo kama huo shingapi
  10. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Watu wa Forex , hii pullbacks strategy inaonekana ina faida sana, kuna mwenye uzoefu nayo?

    Katika demo account, nimefanya trades 53 na kati ya hizo 40 zimeleta profit kwa kutumia hii pullback and breakout strategy. Sasa natafuta vitabu na articles mbalimbali ili nifanye specialization kwenye hii strategy naona ni rafiki sana. Kabla sijaiingiiza kwenye real money naombeni muongozo...
  11. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

    Pia kwa dakika 3 hizo unaweza ku blow profit uliyoijenga kwa siku tatu
  12. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Waziri Mkuu kapotoshwa? Katika Sekta ya Afya, Muuguzi na Mkunga ni watu muhimu sana

    Ungeambtanisha taarifa yake pia wengine tukajua kinachoendelea
Back
Top Bottom