Katika demo account, nimefanya trades 53 na kati ya hizo 40 zimeleta profit kwa kutumia hii pullback and breakout strategy.
Sasa natafuta vitabu na articles mbalimbali ili nifanye specialization kwenye hii strategy naona ni rafiki sana.
Kabla sijaiingiiza kwenye real money naombeni muongozo...
Huyo kadanganywa na hawa wazee wanaojuta kutokununua ardhi enzi za zamani, Pesa unayotegemea ipande kwa miake yote hio unaweza kuipata hata kwenye Biashara na zaidi ukapata mahitaji ya kila siku huku unatengeneza profit kuliko kuiweka yote ardhini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.