Recent content by thegreat1510

  1. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Mkubwa kashtukia mchezo wa July - Sept, anawapukutisha Kama majani ya Kiangazi, bundi katua kwa taita

    Me pia siamini , kwa dunia ya sasa huwezi kumshikilia mtu kinyume na matakwa yake kwa muda mrefu bila kuzua taharuki, itafika muda watu watamdai au atajaribu kutafuta uhuru
  2. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania WMO yatoa onyo El Niño itakuwa tishio la kihistoria, tahadhari zichukuliwe mapema

    Hawa kila mwaka huwa wanatoa onyo
  3. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Kabla JK hajajitokeza kwenye shughuli yoyote lazima zitangulie kwanza taarifa za ugonjwa au msiba fake

    Hii si mara ya kwanza, Kabla JK hajajitokeza kwenye shughuli yoyote lazima zitangulie kwanza taarifa za ugonjwa au msiba fake. Wito kwa wanaharati akina Hilda, Maria na wengine: Wawe makini na taarifa kama hizi, kwani huenda wanafanya maksudi ili kuwabaini wavujisha taarifa wenzao. Mfano...
  4. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Ukimya wa familia ya Nchimbi unashangaza

    Nawaza huenda walikuwa wameweka mizizi mirefu sana ya upigaji, Kuharibu kwa Nchimbi ni pigo kwa familia yake na watu wake kwa ujumla, si mke wala watoto. Katika hali ya kawaida ni ngumu kupambaniwa kama watu wako wa karibu wapo kimya, Wanakuwa vulnerable sana kuzuiwa kwasababu wana vingi vya...
  5. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Alisema atajiuzuru rasmi tarehe 4 Agosti, Tumeshamsahau tayari.

    Hadi family members wathibtishe kwanza kuwa hawampati
  6. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Nimechoma account nne kwenye Forex, rasmi sasa nasema basi!

    Naunga hoja mkono
  7. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Nimechoma account nne kwenye Forex, rasmi sasa nasema basi!

    Pole sana mkuu, Binafsi me niliustukia huu mchezo mapema nikakimbia. Nahisi ulisukwa kuwapiga hela watu
  8. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Kumbe neno Mtibeli au Tibeli sio neno rasmi kwenye lugha ya Kiswahili?

    Hii pia ni ID yako sio😁
  9. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano NDEJEMBI asielewane na Samia tena hapo baadae

    Kwa haraka haraka nadhani wamejikita kuangalia asili ya mtu na si tabia zake. Serikali ya sasa ingehitaji makamu chawa hasa. Ndejembi ni mtu social , sikuwaahi kumuona kwenye press za kichawa mbali na teuzi aliyokuwa nayo. Na kumpa nafasi ya umakamu ni kumuongezea exposure kwa watu na pressure...
  10. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Nchimbi anaweza kututajia watekaji wote kwa majina

    Sawa
  11. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Nchimbi anaweza kututajia watekaji wote kwa majina

    Hadi wanapoishi na familia zao, Hata kwa kutumia anonymous accounts za mitandao ya kijamii. Hili ni jambo muhimu sana.
  12. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Wanaotoa hoja za kumfukuza Mbowe uanachama bila shaka ni chawa wa CCM

    Wanatafuta justification ya walichomfanyia Nchimbi kukichafua Chama. Chadema haipaswi kufananishwa na ccm , iwe mfano wa kuigwa wa demokrasia ndani na nje ya chama.
  13. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Kumbe em yupo kizuini na amenyaqanywa cm

    Warioba kathibitisha
Back
Top Bottom