Me pia siamini , kwa dunia ya sasa huwezi kumshikilia mtu kinyume na matakwa yake kwa muda mrefu bila kuzua taharuki, itafika muda watu watamdai au atajaribu kutafuta uhuru
Hii si mara ya kwanza,
Kabla JK hajajitokeza kwenye shughuli yoyote lazima zitangulie kwanza taarifa za ugonjwa au msiba fake.
Wito kwa wanaharati akina Hilda, Maria na wengine: Wawe makini na taarifa kama hizi, kwani huenda wanafanya maksudi ili kuwabaini wavujisha taarifa wenzao.
Mfano...
Nawaza huenda walikuwa wameweka mizizi mirefu sana ya upigaji, Kuharibu kwa Nchimbi ni pigo kwa familia yake na watu wake kwa ujumla, si mke wala watoto.
Katika hali ya kawaida ni ngumu kupambaniwa kama watu wako wa karibu wapo kimya,
Wanakuwa vulnerable sana kuzuiwa kwasababu wana vingi vya...
Kwa haraka haraka nadhani wamejikita kuangalia asili ya mtu na si tabia zake.
Serikali ya sasa ingehitaji makamu chawa hasa.
Ndejembi ni mtu social , sikuwaahi kumuona kwenye press za kichawa mbali na teuzi aliyokuwa nayo.
Na kumpa nafasi ya umakamu ni kumuongezea exposure kwa watu na pressure...
Wanatafuta justification ya walichomfanyia Nchimbi kukichafua Chama.
Chadema haipaswi kufananishwa na ccm , iwe mfano wa kuigwa wa demokrasia ndani na nje ya chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.