Recent content by thegreat1510

  1. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Nimetengenezewa kesi ya wizi wa mamilioni kwa lengo la kunipoteza

    Kama sio kweli potezea
  2. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Ni utaratibu gani wa kufuata ili kuanzisha nchi?

    Hakikisha una nuclear kwanza
  3. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania House4Rent Nyumba inapangishwa Sinza - Kodi TZS 2Million kwa mwezi

    Hivi kujenga mjengo kama huo shingapi
  4. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Watu wa Forex , hii pullbacks strategy inaonekana ina faida sana, kuna mwenye uzoefu nayo?

    Katika demo account, nimefanya trades 53 na kati ya hizo 40 zimeleta profit kwa kutumia hii pullback and breakout strategy. Sasa natafuta vitabu na articles mbalimbali ili nifanye specialization kwenye hii strategy naona ni rafiki sana. Kabla sijaiingiiza kwenye real money naombeni muongozo...
  5. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

    Pia kwa dakika 3 hizo unaweza ku blow profit uliyoijenga kwa siku tatu
  6. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Waziri Mkuu kapotoshwa? Katika Sekta ya Afya, Muuguzi na Mkunga ni watu muhimu sana

    Ungeambtanisha taarifa yake pia wengine tukajua kinachoendelea
  7. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Kununua ardhi halafu huna pesa ya kujenga ni ujinga, Bora hiyo hela ufanyie biashara

    Huyo kadanganywa na hawa wazee wanaojuta kutokununua ardhi enzi za zamani, Pesa unayotegemea ipande kwa miake yote hio unaweza kuipata hata kwenye Biashara na zaidi ukapata mahitaji ya kila siku huku unatengeneza profit kuliko kuiweka yote ardhini.
  8. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Wanawake Lindeni Afya Zenu

    Nadhani takwimu hizi ni kwasababu wanaume wengi hawapimi hiv, wanawake inawalazimu kupima hasa nyakati za ujauzito.
  9. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni za Simu zinatukata Mawalaka 20% kwa kutuma fedha nje ya Mkoa, huu si ni wizi huu?

    Insasikitisha sana, sasa tokeni tuandamane
  10. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Mwanaume tafuta Hela Ndugu waje kukutembelea

    Achana na mambo ya ndugu hawana msaada wowote kwako
  11. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Hebu tupia maneno yanayoishia na `zi'

    Uzi wa watoto huu,
  12. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Hii vita mpya mitandao inatuchanganyia na AI

    Sasa unafatilia hii vita kupitia Facebook unategemea nini, taarifa za uhakika zinapatikana x
Back
Top Bottom