Recent content by thegreat1510

  1. thegreat1510

    Ni utaratibu gani wa kufuata ili kuanzisha nchi?

    Hakikisha una nuclear kwanza
  2. thegreat1510

    House4Rent Nyumba inapangishwa Sinza - Kodi TZS 2Million kwa mwezi

    Hivi kujenga mjengo kama huo shingapi
  3. thegreat1510

    Watu wa Forex , hii pullbacks strategy inaonekana ina faida sana, kuna mwenye uzoefu nayo?

    Katika demo account, nimefanya trades 53 na kati ya hizo 40 zimeleta profit kwa kutumia hii pullback and breakout strategy. Sasa natafuta vitabu na articles mbalimbali ili nifanye specialization kwenye hii strategy naona ni rafiki sana. Kabla sijaiingiiza kwenye real money naombeni muongozo...
  4. thegreat1510

    Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

    Pia kwa dakika 3 hizo unaweza ku blow profit uliyoijenga kwa siku tatu
  5. thegreat1510

    DOKEZO Waziri Mkuu kapotoshwa? Katika Sekta ya Afya, Muuguzi na Mkunga ni watu muhimu sana

    Ungeambtanisha taarifa yake pia wengine tukajua kinachoendelea
  6. thegreat1510

    Kununua ardhi halafu huna pesa ya kujenga ni ujinga, Bora hiyo hela ufanyie biashara

    Huyo kadanganywa na hawa wazee wanaojuta kutokununua ardhi enzi za zamani, Pesa unayotegemea ipande kwa miake yote hio unaweza kuipata hata kwenye Biashara na zaidi ukapata mahitaji ya kila siku huku unatengeneza profit kuliko kuiweka yote ardhini.
  7. thegreat1510

    Wanawake Lindeni Afya Zenu

    Nadhani takwimu hizi ni kwasababu wanaume wengi hawapimi hiv, wanawake inawalazimu kupima hasa nyakati za ujauzito.
  8. thegreat1510

    Mwanaume tafuta Hela Ndugu waje kukutembelea

    Achana na mambo ya ndugu hawana msaada wowote kwako
  9. thegreat1510

    Hebu tupia maneno yanayoishia na `zi'

    Uzi wa watoto huu,
  10. thegreat1510

    Hii vita mpya mitandao inatuchanganyia na AI

    Sasa unafatilia hii vita kupitia Facebook unategemea nini, taarifa za uhakika zinapatikana x
  11. thegreat1510

    TYPES OF MEDICINE

    Elezea na contraindications zake na side effects
Back
Top Bottom