Recent content by thee kid

  1. thee kid

    Msaada: Kuna uwezekano wa kufanyia interview katika kituo kilichopo katika mkoa niliopo sasa?

    Habari ndugu zangu? Natumaini mko salama na wazima wa afya. Samahani naomba kuuliza jambo ninechaguliwa katika online written interview za utumishi lakini kituo nilichopangiwa ni mkoa mwingine mbali kabisa na mkoa niliopo sasa ivi. Nilikuwa nauliza kama kuna uwezekano wa kufanyia interview...
  2. thee kid

    Zanzibar kuna fursa gani za manual labour?

    Vipi mkuu fursa Bado ipo ninaweza kuja? Mimi ninaishi maeneo ya vingunguti.
  3. thee kid

    Ombi la Kazi

    Shukrani
  4. thee kid

    Ombi la Kazi

    Heshima zenu wakuu! Kama kichwa Cha Uzi kinavyojieleza. Mimi ni Kijana wa miaka 23 Nina shahada ya kwanza (Bachelors degree) ya usimamizi ya Manunuzi na Ugavi niliyohitimu mwaka 2022.Tokea nimehitimu sijabahatika Bado kupata kazi,hivyo basi ninaandika Uzi huu kuomba kama Kuna mtu yeyote humu...
  5. thee kid

    Msaada kuhusu Application Ajira portal

    Habari ndugu zangu, Samahani kwa kuwasumbua naombeni msaada wa kuhusu application za ajira katika mfumo wa ajira portal nilikuwa nauliza kama kuna tangazo la kazi linahitaji applicants wawe na diploma. Je, mtu mwenye degree akijaribu kuapply nafasi hiyo hiyo inayohitaji diploma holders itakubali?
  6. thee kid

    Kumbe simba sc ushamba walianza kitambo

    sasa point yako iko wapi hapo ndugu?
  7. thee kid

    Nisome kozi Gani kati ya hizi nitakazozi orodhesha hapa chini?

    Habarini wakuu, poleni na majukumu mbalimbali yanayowakabili. Samahanini nimeandika Uzi huu kuomba ushauri nahitaji kwenda kuongeza elimu ya vitendo kidogo katika vyuo vya VETA infact kwa sasa hivi Mimi ni mhitimu wa shahada ya Manunuzi na ugavi kutoka chuo fulani hapa nchini. Nilkuwa...
  8. thee kid

    Ushauri sehemu ya kufanyia field ya Procurement and Supply Management

    Habarini Wakuu, poleni na majukumu Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza mimi ni mwanafunzi nasoma degree ya Procurement and Supply Management. Nilikuwa naomba mnishauri kampuni au taasisi nzuri za kufanyia field kulingana na programme yangu ya procurement hususani katika mkoa wa Songwe...
  9. thee kid

    Uwezekano wa kubadili kozi Chuoni

    Ndio inawezekana as long as utakuwa umekidhi vigezo vya programme unayotaka kuhamia pia kama hiyo programme ina nafasi bado
Back
Top Bottom