Recent content by TheCrazy Mchokozi

  1. TheCrazy Mchokozi

    CHADEMA hamjatutendea haki watanzania kumpa Uenyekiti wa CHADEMA taifa Lissu ambaye familia yake yote iko nje mkamuacha Mbowe, mtuombe msamaha

    Hii nchi imebeba wajinga wengi sana. Nadhani kabla ya kuanza kupambana na umaskini, tungeanza na literacy level ya watanzania. Tupunguze tu hawa watu ambao hawana elimu kwa kweli. Utakuta huyu ni mtu mzima au ni jamaa ana push propaganda. Kizazi kijacho kina elimu siyo ya kudanganyika na...
  2. TheCrazy Mchokozi

    Samia, CCM na Polisi someni alama za nyakati, Lissu ni mjumbe tu, ni kivuli kile!

    Hapo watakimbilia karata ya amani over decency. Yaani wafanye uhuni kwenye uchaguzi halafu wakiambiwa nguvu ya umma kwa siri inataka mabadiliko huwa wanakimbilia amani ya nchi.
  3. TheCrazy Mchokozi

    Profesa Ruth Meena apingana na Profesa Mkandalla, asema Wanawake siyo Kundi Maalum kwa sababu Wanawake ndio wengi kuliko Wanaume

    Nakubaliana Na Prof, Wanaume Tumebaki Wachache Tulindwe Kama Kundi Maalum. Kwani Ni Kigezo Kipi Kilichotumika Kuwaweka Wanawake Kwenye Kundi Maalum?!
  4. TheCrazy Mchokozi

    GE2020 Dkt. Magufuli amfuta rasmi Freeman Mbowe jimboni Hai

    Hivi Hai kuna mgombea wa CCM kweli au anagombea Magufuli. Pale Hai hakuna vichaa wakuipa CCM kura ata siku moja, huyo amepita hapo kama picnic tu
  5. TheCrazy Mchokozi

    Kumbe sababu ya kifo cha Mkapa ni Cardiac Arrest. Asante sana mwanafamilia William Erio kumaliza sintofahamu hii

    Msemaji anasema Rais Mkapa kafia kwenye Kiti ghafla. JK anasema aliugua na alipata lisaa lizima kuongea nae kabla ya umauti. UTATA!
  6. TheCrazy Mchokozi

    Wako wapi viongozi wa upinzani? Tunahitaji muongozo wao

    Sahivi wanapewa elfu kumi, equivalent ya laki 3 kwa mwezi ndo maana unaona mishipa inamtoka kwenye kila post zake.
  7. TheCrazy Mchokozi

    Kitila Mkumbo: Mafanikio na utata wa Membe kidiplomasia

    Honestly nimependa Jinsi ume summarize siasa ya Tanzania ya sasa kwa maneno machache Kuhusu Mapungufu ya Membe kubebeka Upinzani kusahau kutumia mgawanyiko huu na kubaki kuwa mashabiki. Your words summarize best on where Magufuli will take us economically.
  8. TheCrazy Mchokozi

    Kwanini inatumika nguvu kubwa kuaminisha Umma kwamba Magufuli anafanya kazi nzuri? Kwanini watangaze na tusijisemee wenyewe?

    Sasa ivi kuna baadhi yetu tupo radhi kutokwa povu kuzima Critism yoyote kwa mzee mkubwa, tujitafakari sana kwani tumekubali kuendeshwa na siasa sio sera na athari yake huonekana baadae sana. Kuna kundi la watu na wasomi pia ambalo linafaidika kwenye kupotosha jamii kujaribu kuwaaminisha kwamba...
  9. TheCrazy Mchokozi

    Kwanini inatumika nguvu kubwa kuaminisha Umma kwamba Magufuli anafanya kazi nzuri? Kwanini watangaze na tusijisemee wenyewe?

    Watanzania tuna ushabiki sana, na tunajua kushabikia. Ukifananisha uongozi wa Magufuli na Abiy wa Ethiopia utajuwa kweli wananchi wenyewe hatujipendi. Rais wa Ethiopia anafanya kazi kweli na acha ndani, sifa nyingi zinatoka nje lakini hamna mwananchi wa Ethiopia umemsikia mtandaoni akisifia...
  10. TheCrazy Mchokozi

    Ukimgusa Magufuli umenigusa mimi, sitakuacha salama. Magufuli ushindi tena 2020

    Tumeshaambiwa hapa hapa JF, tuogope watu kama hawa ambao wanajipendekeza halafu wanaweka namba za simu. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. TheCrazy Mchokozi

    Ukimgusa Magufuli umenigusa mimi, sitakuacha salama. Magufuli ushindi tena 2020

    Hawa ndo wale 'Malaika wa CCM' JPM alisema atawatawala na mbinguni Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom