Recent content by Thebrighterfuture

  1. T

    Website ya utalii, itanayotoa fursa kwa mawakala na watu wenye uzoefu kwenye swala zima la utalii

    Ndugu wapendwa, hongereni kwa jukumu la kujenga taifa. Nimekuja hapa na kazi iliyokamilika, anaetaka tupige kazi unakaribishwa. Nimetengeneza website ya utalii, ambayo itawasaidia watu wa kawaida wenye uzoefu na mambo ya utalii, pamoja na mawakala, wenye makampuni ama wasio na makumpuni...
  2. T

    Natafuta Programmer wa mobile application both Android na IOS

    Kama wewe ni programmer mzuri wa native mobile apps. Kindly check me inbox. (Serious People. Only).
  3. T

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Nauza mashudu ya alizeti kwa bei ya jumla
  4. T

    Fursa ya biashara ndani ya visiwa vya Comoro

    Shida ya meli Comoros ni moja, ndio inapeleka mzigo, je huku inarudi na nini?
  5. T

    Fursa za Biashara na kilimo cha nyanya, Iringa Ilula

    Nimeandika kutokana na nilichokiona.
  6. T

    Fursa za Biashara na kilimo cha nyanya, Iringa Ilula

    Za jioni wandugu, Nimetembelea mkoa wa Iringa, niweza kujionea maajabu na fursa nilizozikuta. “Kweli tembea ujione”. Tenga la nyanya, ambalo linatoa mbaka ndoo kubwa tatu, linauzwa 15,000 . Kukodi kwa eka ni 30,000. Kutumia ng’ombe kwa eka moja ni 30,000. Kutumia treka ni 50,000 kwa eka...
  7. T

    Tupeaneni fursa za kiabishara kwa mkoa wa Mbeya

    Ndugu wapendwa, za mida. Baada ya kundika kuhusu DSM, mji unaofata ni Mbeya. Mda si pende, tukijaliwa ntawaletea fursa za mji wa mbeya.
  8. T

    Fursa za biashara zilizopo mkoa wa Dar es Salaam

    Za mida wapendwa. Uzi wa leo ni wa kuangalia za biashara zilizopo mkoa wa DSM tu. Na kama uzi huu utazaa matunda basi bila shaka tutaelekea mkoa mwingine. 1. Kushona nguo- hapa ukipata fundi mzuri, unatoboa. Sio lazima ujue kushona. 2.Kuuza icecream za mia mia-hapa ukiwa mchapa kazi bila...
Back
Top Bottom