Recent content by TheBigBoss

  1. TheBigBoss

    Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

    Kumbe unashauri? Sasa unashauri na kichwa cha habari kinasema NI LAZIMA?[emoji23][emoji23] umejitahidi kiasi kuandika lakn ni upuuzi mtupu! Kuna mafisadi papa na bado wapo kila kona ya nchi, hujawasemea! Mnamwogopa sana lowassa nyie ccm!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Zamu hii...
  2. TheBigBoss

    Kwa matokeo haya naweza kupata nafasi UDSM?

    Nafasi utapata! Tatizo educ kwa sasa haina future! Nenda kozi za maana kama ulizoshauriwa na wadau hapo juu! [emoji122] Congratulation kwa div yako 1.8 katie msuli hivyohivyo! Hata kama educ ni hobby yako basi katie msuli ubaki chuo kama lecturer!!
  3. TheBigBoss

    Bunazi Secondary School

    Unajua ndugu kuna vitu vingine ukitaka kuvisifia unakosa sifa? Yaani hata ukeshe kutafuta sifa huwezi ona! Mm mwenyewe niligoogle hii shule sijaona chochote cha sifa! Labda sifa moja tu ni kuwa shule iko Tanzania na sio Burundi!!! Huko hakuna wanafunzi waende!? Mpaka wachukue watoto pwani? Blind...
  4. TheBigBoss

    Bunazi Secondary School

    May God! Binti yangu hawezi soma hapo! Asanteni kwa taarifa! [emoji120] !!
  5. TheBigBoss

    Bunazi Secondary School

    Shukrani kwa wazo lako!! [emoji115][emoji106]
  6. TheBigBoss

    Bunazi Secondary School

    Asante kwa taarifa yako muhim ndugu! Ngoja niingie upande wa pili (private schools). Nilijaribu ku-google taarifa za shule hii niliona mambo ya ajabu! Hasa matokeo! [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26] ! Asante kwa taarifa
  7. TheBigBoss

    Bunazi Secondary School

    Naombeni mwenye joining instructions ya bunazi kwa form five 2016, ndugu zangu ninashida
  8. TheBigBoss

    Bashe: Kama mnataka kutukata kodi mkateni na Rais

    We unachuki binafsi! [emoji57]
  9. TheBigBoss

    Rais wangu Magufuli, huu ni wakati wa ku-act Udikteta wanaokusingizia. Anza na Jenerali Ulimwengu

    Huna hoja! sijaona hoja ya mtu mwenye akili timamu hapa! Jenerali Ulimwengu ni mzalendo, wewe ni m-ccm
  10. TheBigBoss

    Vyoo vya UDSM vinatia aibu (95% vimeziba)

    Ndio great thinkers wanavyowaza!
  11. TheBigBoss

    Ajira za walimu zitatoka lini?

    Mfano wa barua ya serikali!
  12. TheBigBoss

    Sio Kisiasa: Hivi Sugu kuonesha dole bungeni, unamshauri nini?

    CCM hawana jipya! hata wangepewa madole ya mikono yote! sawa tu!
Back
Top Bottom