Recent content by THE WISE MaN

  1. T

    Pengo awalipua Maaskofu, asisitiza uamuzi wa aina ya kura ni wa mtu binafsi

    Ushirikiano wa wananchi ni wa muhimu ili kuleta maendeleo
  2. T

    Uume hausimami asubuhi

    Si lazima uume usimame asubuhi. Uume husimama katika hali ambapo uume hujaa damu inayoufanya uongezeke ukubwa na urefu,mfano mtu wa kiume akiwa karibu na mtu wa kike kihisia au ana kwa ana.
  3. T

    Mkasa ulionikuta baada ya kumtongoza msichana wa JF

    Pole sana. Nawe piga kazi wakuogope
  4. T

    Chaguzi za awamu ya tano zinawadia

    Tukimalizia uongozi wa awamu ya nne,ambao umeambatana na changamoto kemkem,huu ni wakati muafaka kulinda chombo kisizame,vinginevyo tunaweza kuishi maisha magumu,yatakayoambatana na kudumaa kwa uchumi na hali ya wananchi kisiasa,kijami na kiutamaduni. Tujipange sasa. Suala la nani awe kiongozi...
  5. T

    Maandamano dhidi ya utawala wa Rais Blaise Compaore nchini Burkina faso, Bunge lachomwa moto!

    Tatizo hilo lililojitokeza Burkina Faso, linawatahadharisha watu wa mataifa mengine kuepuka kutumia mtindo wa uongozi usiojali haki na usawa wa binadamu; bali kuboresha katiba yao itakayofanya uongozi uwe wa haki. Tunatarajia uchaguzi utakaofanyika Tanzania mwaka ujao,utakuwa wa amani; na...
  6. T

    Asilimia kubwa ya wana-CCM ni wasakatonge tu

    Ni hatari tukibweteka,tuwe makini kwani tuendako kiuchumi si pazuri
  7. T

    Mwenyekiti wa CCM USA afungwa kwa wizi wa 1.5 billion

    Watu kama huyo, waadhibiwe vikali. Kama vipi amwage unga
  8. T

    Selection UDSM 2014/2015

    Selection udsm tayari?
Back
Top Bottom