Tukimalizia uongozi wa awamu ya nne,ambao umeambatana na changamoto kemkem,huu ni wakati muafaka kulinda chombo kisizame,vinginevyo tunaweza kuishi maisha magumu,yatakayoambatana na kudumaa kwa uchumi na hali ya wananchi kisiasa,kijami na kiutamaduni. Tujipange sasa. Suala la nani awe kiongozi...