Nimesoma ulichopitia kule Kagera na ninakupa pole sana. Usichokijua bado ni kuwa huko kwenu Kondoa yote uliyoeleza ndio hayo hayo kwa sisi ambao tumebahatika kuishi na kufanya kazi hapo ikiwemo ubaguzi wa wenyeji, ushirikina, matumizi ya lugha ya asili bila kujali uwepo wa wageni, majungu na...
Mimi nilikuwemo kwenye huduma hii tangu mwaka 2017 lakini mwezi huu March 2025 tarehe 03 nimenunua umeme wa 10,000/ nikapewa unit 28 nikajaribu na mita ya pili maana nilikuwa na mita 2 nayo nikapewa unit 28 nikajua tayari nimetolewa. Hii huduma ilikuwa nzuri sana maana inakupa unafuu wa maisha...
Mungu akusaidie utambue kuwa wale ni makuhani wamewekwa na Mungu kutimiza kazi yake. Suala la muda wa ibada kuwa mrefu ni jambo ambalo unaweza kufika ofisi ya mchungaji kiongozi ukatoa ushauri kuliko kuja hapa kulalamikia jambo ambalo wengi wa unaowalalamikia ni ama wa mlengo mwingine au si watu...
Pole sana ndugu. Lakini ili kufuta hilo tatizo kwenye familia na ukoo wako ni bora umsamehe na umpende haijalishi ni wapi amewapitisha maana usipofanya hivyo kwanza utaendelea kupitia maumivu ya moyo na pia utakuwa unaendeleza roho hiyo ya kutelekezana kwenye familia au ukoo wenu.
Mkuu naomba niulize maswali kadhaa ya uelewa;
1. RO ni nini?
2. Je
,
Mkuu naomba niulize maswali kadhaa kwa ajili ya kukuza ufahamu;
1. RO ni nini?
2. Ili niweze kuchakata angalau lita 2,000 za maji kwa siku nahitaji mfano niwe na manpower kiasi gani na mashine gani niwe nazo? Nitashukuru...
Kama umejipanga na sio mzamiaji nadhani utakuwa na majibu pamoja na vielelezo kamili vya kuhalalisha safari yako hivyo una nafasi nzuri ya kupewa visa.
Nadhani inategemea na aina ya pressure cooker uliyonunua. Mimi ninayo ya umeme na inatumika almost daily na ni pamoja na nyama, maharage, pilau, mikate na sasa ina mwaka wa pili na familia yangu ni ya watu 6. Pia ni very economical kwenye ulaji wa umeme.
Hadithi yako ni nzuri lakini ungemuomba mjuvi wa Kiswahili aipitie na kurekebisha makosa madogo madogo ya kiuandishi mfano alafu badala ya halafu, ill badala ya hilo nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.