Nyakati hizi vipaji haviwez kuonekana Kama zamani coz mpira umepiga hatua sana ili team ipate mafanikio inabidi mcheze ki team zaid sio Kama zamni juhudi binafsi za mchezaji mmoja mmoja lkin yote katika yote tuendako ni kubaya soka limetawaliwa na pesa toka michezo ya betting ianze kushamili pia...
Mimi nadhani kwa mtu anaefanya Mara kwa mara bao lake la pil na tatu hayawez kutungisha mimba coz mbegu za bao la kwanza ndio zinakuwa zimekomaa vizur hata ukiangalia kwa macho tu unaona bao la kwanza ni zito Lina afya yani tofauti na la pili na tatu
NB;Angalizo ushaur wangu ni kwa wale ambao...
Mnaongea sana bana lkin Ronaldo hamuwezi Messi hata kidogo nakumbuka jamaa kipindi liko Madrid alikuwa mbinafsi sana hata afunge 4 pekee yake bado ikitokea penalty atalililia kwa ufupi mafanikio ya Ronaldo kwa asilimia kubwa yametokana na juhudi za wachezaji wenzie 80% za kina modric,macelo nk...
Mambo Mengine bhana pale ni camp now kama unaweka mkeka mpe Barca wala usiwaze inter hachomoki kina Messi, dembele mjengoni liver kafa pale sembuse inter
Simdharau inter ila kama kushinda au sare atazipata akiwa Italy kwao
Hiyo tuzo Amestahili Messi na hao warabu tunajua wana bifu na Messi tokea kipindi kile Argentina igome kwenda kucheza nchi ya kiarabu ndio kutokana nai ule mzozo wa israel kuwa mji mkuu was Jerusalem na Messi alikuwa kama mhamasishaji wa Argentina kuahilisha mchezo hapo ndio bifu la warabu na...
Kama Giruod kaweza kwanini samatta ashindwe na pia akienda huko England sio lazima acheze team kubwa kama unavowaza anaweza kuchezea team za ligi kuu epl zenye majina madogo na akatisha tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.