Mkuu, kila bao au mshindo ukitoka unabeba mamillion ya mbegu ambazo mbegu moja ikifanikiwa kukutana na yao la kike mimba inatungwa. So liwe bao la 1,2,3 n.k linaweza kutungisha mimba. Kwasababu kila bao likitoka ule ujazo wake unakua na mbegu MillionsSawa kiongozi,,, Lakini si tunaambiwa kuna ujazo Rasmi ambao unahitajika? Naiman kila bao litakua na ujazo tofauti haziwez fanana! Hapo ikoje kiongozi?.
Sawa kiongozi, Lakini si tunaambiwa kuna ujazo Rasmi ambao unahitajika? Naiman kila bao litakua na ujazo tofauti haziwez fanana! Hapo ikoje kiongozi?.