Kwa maneno haya ya Pele, soka litakuwaje baadaye?

olele

JF-Expert Member
Dec 2, 2010
1,303
1,559
Wakati akizungunza na Gazzeta dello Sport na nchini Italia, Pele aliongea mambo kadhaa, (Kimsingi alikua anamzungumzia ubora wa Messi)

Jambo lilinivutia ni hili naunukuu "but feels there are not as many truly world-class talents around now as there have been in notable eras of the past'', akimaanisha kwa sasa hakuna wanasoka wenye vipaji kama wakati uliopita.

“Once you found two or three in every country with a great football culture'', kwamba kipindi ambacho ungeweza kupata wachezaji wakali angalau wawili au watatu katika kila nchi. Akiendelea na kuwataja baadhi, akisema "There were so many. Today we have two or three in total". Messi, Ronaldo na labda Neymar (nadhani alimtaja kwa sababu ya Ubrazil).

Nadhani wote tutakubaliana kuwa kwa sasa vipaji halisi vya soka vinapungua sana,

Future ya mpira wa miguu itakuwaje, football without talent?
 
Hiyo ni kawaida ya kila mwanadamu kuiona zamani yake kuwa bora zaidi, hata Messi kuna kipindi atahojiwa atasema hivyo hivyo, na haitoishia hapo itaendelea mpaka utimilifu wa dahari.

sijui kama umeelewa, kwa kadri siku zinavyozidi kwenda wachezaji wenye vipaji wanazidi kupungua, na ndio maana kwa muda wa miaka kumi midomoni mwa watu ni Ronaldo na Messi, na wao ndio wamekua wakipokeza tuzo ya mchezaji bora wa dunia. siku hizi hakuna wachezaji wenye vipaji
 
Mimi naona wachezaji wenye vipaji wapo wengi tu tena inawezekana kuzidi hata hiyo zamani ila naona dunia imeishiwa makocha. Zamani inaonekana ilikuwa na vipaji vingi sababu timu nyingi zilikuwa kwenye viwango vya juu.
Hapa Ac milan, Inter milan, Juventus zote viwango juu, kule man u, Arsenal,liverpool, bayern munchen, leverkusen, barca, deportivo, madrid n.k zote viwango juu. Sasa hapo lazima utapata wachezaji wengi walio kwenye form.
Timu nyingi sasa haziko viwango vya juu na sio sababu za wachezaji bali makocha. Angalau klop na Gurdiola wanajitahidi na wachezaji wa hizo timu za hao makocha wengi wako vizuri.
 
Mimi naona wachezaji wenye vipaji wapo wengi tu tena inawezekana kuzidi hata hiyo zamani ila naona dunia imeishiwa makocha. Zamani inaonekana ilikuwa na vipaji vingi sababu timu nyingi zilikuwa kwenye viwango vya juu.
Hapa Ac milan, Inter milan, Juventus zote viwango juu, kule man u, Arsenal,liverpool, bayern munchen, leverkusen, barca, deportivo, madrid n.k zote viwango juu. Sasa hapo lazima utapata wachezaji wengi walio kwenye form.
Timu nyingi sasa haziko viwango vya juu na sio sababu za wachezaji bali makocha. Angalau klop na Gurdiola wanajitahidi na wachezaji wa hizo timu za hao makocha wengi wako vizuri.

Hivi wewe unaelewa kinachozungumziwa kweli,,,,,kocha has nothing to do with talent bhana
 
Vipaji vipo lakini soka la sasa halihitaji vipaji bali linahitaji mbinu.

Kwa namna fulani vipaji vinamatumizi madogo sana katika soka la kisiasa kuliko kipindi cha kina Pelle.
Wakati akizungunza na Gazzeta dello Sport na nchini Italia, Pele aliongea mambo kadhaa, (Kimsingi alikua anamzungumzia ubora wa Messi)

Jambo lilinivutia ni hili naunukuu "but feels there are not as many truly world-class talents around now as there have been in notable eras of the past'', akimaanisha kwa sasa hakuna wanasoka wenye vipaji kama wakati uliopita.

“Once you found two or three in every country with a great football culture'', kwamba kipindi ambacho ungeweza kupata wachezaji wakali angalau wawili au watatu katika kila nchi. Akiendelea na kuwataja baadhi, akisema "There were so many. Today we have two or three in total". Messi, Ronaldo na labda Neymar (nadhani alimtaja kwa sababu ya Ubrazil).

Nadhani wote tutakubaliana kuwa kwa sasa vipaji halisi vya soka vinapungua sana,

Future ya mpira wa miguu itakuwaje, football without talent?
 
Mpira wa miguu ulishaporwa na makampuni ya vifaavya michezo, Tuzo za mchezaji bora zinapikwa kulingana na nani anavaa vifaa vya kampuni gani ya michezo.
Ebu kama una futiliia soka ivi ilikuaje messi akatwaa tuzo ya mchezajibora wa dunia 2010? Fifa na wahuni wanzao wanajiamulia watakavyo.
Na unaenda kuzikwa na makampuni ya kubet
 
Mimi naona wachezaji wenye vipaji wapo wengi tu tena inawezekana kuzidi hata hiyo zamani ila naona dunia imeishiwa makocha. Zamani inaonekana ilikuwa na vipaji vingi sababu timu nyingi zilikuwa kwenye viwango vya juu.
Hapa Ac milan, Inter milan, Juventus zote viwango juu, kule man u, Arsenal,liverpool, bayern munchen, leverkusen, barca, deportivo, madrid n.k zote viwango juu. Sasa hapo lazima utapata wachezaji wengi walio kwenye form.
Timu nyingi sasa haziko viwango vya juu na sio sababu za wachezaji bali makocha. Angalau klop na Gurdiola wanajitahidi na wachezaji wa hizo timu za hao makocha wengi wako vizuri.

Jamaa umejichanganya sana kwenye ulichokiandika.

Kama kuna mtu atakuelewa anifafanulie.
 
Hivi wewe unaelewa kinachozungumziwa kweli,,,,,kocha has nothing to do with talent bhana
Unafikiri messi au ronaldo wanaweza kucheza nafasi yoyote uwanjani na ukawaona wanavipaji? Makocha ndio wanatengeneza mifumo na kupitia hiyo mifumo ikiwa bora itaibua timu bora na wachezaji bora. Van dijk wa liverpool na soton yupi ameleta gumzo zaidi?
 
Pele yupo sahihi, kwa sasa wala hata sikatishi usingizi kusubiri mechi, huwa nasubiri tu matokeo kwenye vyombo vya habari. Ukisikia mechi ya UEFA labda Real Madrid na Bayern, hata haushituki unaweza lala kabisa kwa amani. au Simba na Yanga, kawaida mno.

Mpira wa sasa hauvutii kabisa, ni upotevu wa muda na kuunguza calories kukesha kuangalia maigizo
 
Point yangu ni kwamba je Messi au ronaldo wanaweza kucheza nafasi yoyote uwanjani na wakafanya vizuri kama kwenye nafasi wanazocheza sasa?

Ungekuwa mtazamaji wa mpira ungejua kwamba Messi na Ronaldo wamewahi kucheza namba tofauti na walipata tuzo kwa kucheza hizo positions.

Wamewahi kuwa viungo, na then strikers.
 
Ungekuwa mtazamaji wa mpira ungejua kwamba Messi na Ronaldo wamewahi kucheza namba tofauti na walipata tuzo kwa kucheza hizo positions.

Wamewahi kuwa viungo, na then strikers.
Kwa hiyo hizo ndizo nafasi pekee uwanjani? Hujawahi ona mchezaji anabadilishwa nafasi kutoka beki na kuwa mshambuliaji, sasa huyo anaebadili nafasi ya mchezaji huoni kuwa ana asilimia za kumfanya mchezaji awe bora au sio bora?

Unafikiri Xavi henandez na Iniesta wangeweza kucheza namba yoyote na kuonesha ubora wao? Sasa huyo aliewafanya wacheze nafasi za viungo huoni kuwa amechangia hao wachezaji kuionesha dunia vipaji vyao? Vipaji vinaendelezwa ndugu na si kila mchezaji ataonesha ubora (ukipaji) katika kila nafasi atakayopangwa.
 
Nyakati hizi vipaji haviwez kuonekana Kama zamani coz mpira umepiga hatua sana ili team ipate mafanikio inabidi mcheze ki team zaid sio Kama zamni juhudi binafsi za mchezaji mmoja mmoja lkin yote katika yote tuendako ni kubaya soka limetawaliwa na pesa toka michezo ya betting ianze kushamili pia mpira kiujumla ni biashara hivyo tutegemee kuona mapinduzi makubwa ya soka saiz hata Neymar or Pogba au mchezaji yoyote anaweza kubeti ya Pogba tu score harafu anampa hela rafiki yake abeti then jamaa anaingilia uwanjani anafanya juu chin kweli anafunga anajua Kuna fungu lake
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom