olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,303
- 1,559
Wakati akizungunza na Gazzeta dello Sport na nchini Italia, Pele aliongea mambo kadhaa, (Kimsingi alikua anamzungumzia ubora wa Messi)
Jambo lilinivutia ni hili naunukuu "but feels there are not as many truly world-class talents around now as there have been in notable eras of the past'', akimaanisha kwa sasa hakuna wanasoka wenye vipaji kama wakati uliopita.
“Once you found two or three in every country with a great football culture'', kwamba kipindi ambacho ungeweza kupata wachezaji wakali angalau wawili au watatu katika kila nchi. Akiendelea na kuwataja baadhi, akisema "There were so many. Today we have two or three in total". Messi, Ronaldo na labda Neymar (nadhani alimtaja kwa sababu ya Ubrazil).
Nadhani wote tutakubaliana kuwa kwa sasa vipaji halisi vya soka vinapungua sana,
Future ya mpira wa miguu itakuwaje, football without talent?
Jambo lilinivutia ni hili naunukuu "but feels there are not as many truly world-class talents around now as there have been in notable eras of the past'', akimaanisha kwa sasa hakuna wanasoka wenye vipaji kama wakati uliopita.
“Once you found two or three in every country with a great football culture'', kwamba kipindi ambacho ungeweza kupata wachezaji wakali angalau wawili au watatu katika kila nchi. Akiendelea na kuwataja baadhi, akisema "There were so many. Today we have two or three in total". Messi, Ronaldo na labda Neymar (nadhani alimtaja kwa sababu ya Ubrazil).
Nadhani wote tutakubaliana kuwa kwa sasa vipaji halisi vya soka vinapungua sana,
Future ya mpira wa miguu itakuwaje, football without talent?