Nikiwa mteule wenu nitarudisha kila kilichoporwa kwa wananchi wa Tanganyika ,ikiwa ni pamoja na kurudisha ardhi kuwa mali ya wananchi,na zenji kuwa mkoa
Kuwahi maendeleo waala,inafikirisha sana maana utendaji mbovu,sio maji,si umeme,sio huduma sa afya mana hata wagonjwa husubirishwa na misafara,sio elimu ,yani kiufupi wanapenda washikilie vitu vidogo vidogo mara uskie choo kimezinguliwa na ving’ora makelele kibao
Mtu mweusi si bure kuna jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.