Recent content by The-unknown

  1. The-unknown

    Pambana sana ujenge kabla hujaanza kusomesha

    Ushamba mkubwa sana,wenzetu huko wanafanya hivyo ili barafu iweze kushuka kirahisi wakati wa baridi kali ,sasa hii ngozi ikaona kwamba ni fashion
  2. The-unknown

    Tetesi: Koko Beach nayo ishauzwa?

    Nikiwa mteule wenu nitarudisha kila kilichoporwa kwa wananchi wa Tanganyika ,ikiwa ni pamoja na kurudisha ardhi kuwa mali ya wananchi,na zenji kuwa mkoa
  3. The-unknown

    Mdau ahoji magari ya serikali kuwa katika haraka wakati wote

    Kuwahi maendeleo waala,inafikirisha sana maana utendaji mbovu,sio maji,si umeme,sio huduma sa afya mana hata wagonjwa husubirishwa na misafara,sio elimu ,yani kiufupi wanapenda washikilie vitu vidogo vidogo mara uskie choo kimezinguliwa na ving’ora makelele kibao Mtu mweusi si bure kuna jambo...
  4. The-unknown

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    Mambo ya kushangaza huwa yanawatokea wengi nikiwemo,lakini hakuna unaloweza kuilezea jamii ikakuelewa ama kuamini,best way ni kukaa kimya tu
  5. The-unknown

    Hizi ndizo taasisi za afya zenye mishahara mikubwa

    Sasa 1.5 ni mshahara mkubwa?
  6. The-unknown

    What’s your take on Gays and Lesbians in Our Society?

    Hakuna tamaduni za nje wala ndani ya africa iliyokua ikipendelea upuuzi huo, Atakae bainika na asokomezwe kaa la moto sehemu hizo,ni upuuzi kabisa
  7. The-unknown

    Hivi mashabiki na wapenzi wa Donald Trump wako sawa kichwani?

    Nilijua ni mimi pekee ninaemuona yeye na washabiki wake kama kenge wa bwawa la mavi, Haongei kitu kinachoeleweka,taarifa zao zimekaa kipuuzi puuzi tu
  8. The-unknown

    My Confession: Nilivyohudumia Mimba iliyokuwa na Baba 5 pasipo Kujuana

    Mimi pia nimewahi kuwa muhanga wa tukio kama hili ila baba tukiwa wawili
  9. The-unknown

    Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

    Hivyo ni vyombo maalumu kwa uzazi na sio starehe, Zaa binti
  10. The-unknown

    Hivi hawa Waarabu wanaochinja chinja makondoo daily..wana agenda gani nyuma ya pazia?

    Cha bure kilienda na nyonyo ya mama tu,rest vina malipo
  11. The-unknown

    Hivi hawa Waarabu wanaochinja chinja makondoo daily..wana agenda gani nyuma ya pazia?

    Kama ambavyo kichwa kiliponza kalio,ndivyo ambavyo tamaa iliponza maisha
  12. The-unknown

    Rais wa Kosovo kaudhalilisha Uislamu

    Uislamu uislamu,mngekua mnasoma vitabu vyenu pengine asingelibakia hata mmoja akijigamba na uislamu
Back
Top Bottom