Recent content by The-unknown

  1. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Kama sharia za kiislamu ziko hivi; naomba wasiruhusiwe kuwa na mahakama ya kadhi

    wafungue wahukumiane wenyewe,hilo ni juu yao hii nchi si ya kiislam,wakiitaka sana wahamie uarabuni
  2. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Mke Wangu hana hamu ya kufanya mapenzi na mimi. Nifanyeje?

    dawa ya moto ni moto
  3. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Kwa kipato cha Tsh. 200,000/- kwa mwezi naweza kujenga nyumba?

    200,000 ni baada ya matumizi ama ndio kipato kabla ya matumizi, kama ni kabla ,jitahidi uongeze kipato kidogo na uwe mvumilivu,kwa maeneo hayo wapo watu unaoweza kulipa kidogo kidogo tofali,na vitu vingine mpaka vikatimia na uanze kukusanya yq fundi, kila kitu kinawezekana ,ni malengo na nia tu
  4. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Watu wa Kanda ya ziwa hebu naomba mnijibu hili swali kuhusu fisi

    sio fisi wale ni watu
  5. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Bamkubwa Aliyefeli Kila Idara

    Mhubiri 7:9 inasema "hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu"
  6. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Kampuni za simu zimeshindwa Kukopesha Flagship Phones?

    vodacom walikua wanafanya kuanzia ilipotoka s3 ,sijui walikwama wapi ila ilikua kwa aina fulani ya wateja
  7. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Je! Ni sawa rafiki au ndugu yako akuombe uzae na mke wake?

    imekaa sawa kabisa,inajulikana akija dm ni biashara,akiweza kuwa straight itapendeza na kuwafaa wengine
  8. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Je! Ni sawa rafiki au ndugu yako akuombe uzae na mke wake?

    itakua michezo, aje akwambie njia ya mtoto inatengenezwa na baba wa mtoto tuu
  9. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Je! Ni sawa rafiki au ndugu yako akuombe uzae na mke wake?

    njia rahis ni wewe toka na mkeo muende hata mara huko ama vijiji vya mbali,wakati ambao mkeo yuko kwenye joto, mtafute mtu huko ashiriki na mkeo ikibidi bila hata mke kujua ni nani ili isijeikawq changamoto hapo baadae(mfunike ata macho) jamaa ashughulike na muondoke eneo hilo ila hilo wazo...
  10. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Unapotua kwa ndege Dar es Salaam, hali ya mabati yenye kutu inaharibu sana mazingira ya Dar na kuifanya ionekane chafu isiyo na mpangilio

    lawama zote ziende kwa serikali, dar wauzaji wa maeneo wanazidi kuiharibu kwa kuuza viwanja vyenye futi 40x50 ni kadogo mdo na lazma msongamano uwepo, plan ya makazi mapya ni sifuri hata kama huko nyuma mlishafeli basi msiendeleze makosa,lakini waapi, na sijui kama wana mipango na kama ipo basi...
  11. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Utawala wa Sultan Zanzibar ulikuwa mbaya sana au kuna namna tumelishwa matangopori?

    huo umeme ulitokana na nini na sasa umeenda wapi? ama bado upo?
Back
Top Bottom