Recent content by The-unknown

  1. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Series gani uliwahi kuangalia na hutamani Tena?

    Mbovu sio kidogo
  2. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Series gani uliwahi kuangalia na hutamani Tena?

    Prison break na money heist
  3. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Pambana sana ujenge kabla hujaanza kusomesha

    Ushamba mkubwa sana,wenzetu huko wanafanya hivyo ili barafu iweze kushuka kirahisi wakati wa baridi kali ,sasa hii ngozi ikaona kwamba ni fashion
  4. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Mkandarasi wa wizi wa nyeti kasababisha madhara makubwa

    Sema tu report ya CAG
  5. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Koko Beach nayo ishauzwa?

    Nikiwa mteule wenu nitarudisha kila kilichoporwa kwa wananchi wa Tanganyika ,ikiwa ni pamoja na kurudisha ardhi kuwa mali ya wananchi,na zenji kuwa mkoa
  6. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Mdau ahoji magari ya serikali kuwa katika haraka wakati wote

    Kuwahi maendeleo waala,inafikirisha sana maana utendaji mbovu,sio maji,si umeme,sio huduma sa afya mana hata wagonjwa husubirishwa na misafara,sio elimu ,yani kiufupi wanapenda washikilie vitu vidogo vidogo mara uskie choo kimezinguliwa na ving’ora makelele kibao Mtu mweusi si bure kuna jambo...
  7. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    Post ya mleta mada
  8. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    Mambo ya kushangaza huwa yanawatokea wengi nikiwemo,lakini hakuna unaloweza kuilezea jamii ikakuelewa ama kuamini,best way ni kukaa kimya tu
  9. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo taasisi za afya zenye mishahara mikubwa

    Sasa 1.5 ni mshahara mkubwa?
  10. The-unknown

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania What’s your take on Gays and Lesbians in Our Society?

    Hakuna tamaduni za nje wala ndani ya africa iliyokua ikipendelea upuuzi huo, Atakae bainika na asokomezwe kaa la moto sehemu hizo,ni upuuzi kabisa
  11. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Hivi mashabiki na wapenzi wa Donald Trump wako sawa kichwani?

    Nilijua ni mimi pekee ninaemuona yeye na washabiki wake kama kenge wa bwawa la mavi, Haongei kitu kinachoeleweka,taarifa zao zimekaa kipuuzi puuzi tu
  12. The-unknown

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania My Confession: Nilivyohudumia Mimba iliyokuwa na Baba 5 pasipo Kujuana

    Mimi pia nimewahi kuwa muhanga wa tukio kama hili ila baba tukiwa wawili
  13. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

    Hivyo ni vyombo maalumu kwa uzazi na sio starehe, Zaa binti
  14. The-unknown

    JamiiForums Tanzania Hivi hawa Waarabu wanaochinja chinja makondoo daily..wana agenda gani nyuma ya pazia?

    Cha bure kilienda na nyonyo ya mama tu,rest vina malipo
Back
Top Bottom