Ila kusemakweli Ulaya life ni nguma Kama huna kazi.. Huna mwenyeji Na Spain ni nchi ambayo haina hela wananche wao wenyewe wanakimbia nchi jirani km Germany, Swiss angala hapa kazi mtu anaweza pata Kama ana qualifications zinazohitajika.. Na pia km hujaoa au kuolewa huna chance.. Anyway, life...
Kwa hiyo na wewe ni shoga Au??? Najua Mungu hakuumba Adam and Adam and Eva und Eva but aliumba Adam and Eva.. Na kama Mungu angefanya kinyume chake hata wewe wewe shoga or wewe Msagaji usingezaliwa.. Tuache kuiga or kufuata tamaduni za watu wasiomjua Mungu ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.