Recent content by The Transporter

  1. The Transporter

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Dah huu Uzi bado unaishi!! Umetusaidia wengi huu uzi enzi hizo kupeana hints za saili na kila kitu
  2. The Transporter

    Msaada wapi kwa kupata cover bora za computer kwa DSM

    naomba msaada sehemu au mahali gani naweza kwenda kubadirisha cover ya Laptop kwa DSM ,Nina changamoto laptop HP imedondoka .
  3. The Transporter

    Jemedari Said CEO mbabaishaji mkubwa asiejielewa

    JKT walimchagua hivyo hivyo alivyo na wakijua ni mwajiriwa Crown fm so tungeona mkataba wao ingesaidia kujadili hili.
  4. The Transporter

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama umefanikiwa kupata kazi serikali mshukuru Mungu bila kujali umeenda taasisi gani leo nipo hapa ofisini naona watu kibao wapi ofisi za ajira portal wengine ni toka asubuhi hata chakula hawajapata
  5. The Transporter

    Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali

    Tunajua hukusema ni jumatatu ya tarehe ngapi ila nadhani ni leo shusha vyombo tupunguze hang over ya weekend
  6. The Transporter

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ila madereva Wana haki ya kuchukiwa aisee sio poa kila mkeka
  7. The Transporter

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Dah mie mwamba mmoja inasemekana alitumbuliwa vyeti feki jamaa tukiwa wawili tunapiga kazi fresh kwani hakuna kigeni kwenye kazi ila sasa akiwaona maboss kila unachofanya anakukosoa mbele yao juzi kati nimetolea uvivu wiki nzima hii kavuta midomo hawa watu ni shida
  8. The Transporter

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hatari mkuu chochoro zote anazijua na anaogopeka full kupita pita kwenye ofisi zisizo zake kupiga umbea tu hawa watu ni shida
  9. The Transporter

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongereni mliopata placements na ambao bado ombeni mpate sehemu nzuri kuna sehemu unaenda dah aisee majanga unakuta watu wa mikataba wananguvu kuliko hata wa. Kutumu na ndio machawa hasa wa mamboss full kukulengesha sehemu sio halafu wananenda kukulipua kwa wakubwa huko
  10. The Transporter

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Majobless Wana hasira sana na PSRS ila kuna Wana kama watatu mkeka wa jana wamelamba asali na mmoja kaka data base mwaka alifanga saili mwaka jana mwezi wa 6 akakata tamaa akaanza kuomba kazi upya ila jana kaonekana
Back
Top Bottom