Recent content by the senior

  1. T

    Mwalimu wa KISWAHILI na HISTORY anahitajika!

    ninyi ni wezi wakubwa mnataka kuneemeka kupitia watu wengine acheni kudanganya watu eti mnafanya bure me nawajua vizur na sishauri mwalimu yeyote awatumie ninyi
  2. T

    TCU na ufafanuzi wa ubora wa degree zinazotolewa na vyuo vyetu vikuu Tanzania

    tcu fanyeni kazi sio kula hela ya watanzania wanaoaply vyuo
  3. T

    Udom yainyima raha udsm, je kulikua na sababu ya haya yote? Jibu ni ndio.

    HUYO JAmaa hana lolote hiyo organisation behavior anayosema amesoma mbona hainalolote, kuna manguri tumepiga social pschology na kukuona kuwa umekuwa afected psychologicaly kusoma chuo usichotarajia(udom) sasa unataka kupoonda kingne ili uweze kubalance your self esteem au kujiridhisha. huwezzi...
  4. T

    unique characteristics of udom. THE BEST PLACE TO BE

    wewe ni muongo kabisa hasa hilo suala la masters watu wanafundishwa ww unaleta politics acha habari za kizushi dogo, consultancy unafutwa sio unatafuta maana kama mtu ni nguli utafuatwa tuu, shauri yako ww kilaza
  5. T

    unique characteristics of udom. THE BEST PLACE TO BE

    wewe nae umetokea wapi, acheni kujifariji na chuo chenu cha kata, hakina lolote kuanzia management mbovu hadi cleaners
  6. T

    UDSM cha 25 kwa ubora Africa na 4,229 Duniani

    WW umekurupuka nani kakwambia muhimbili ilijitoa udsm sababu ya ubora? acheni kuropoka vitu msivyo vijua hizo ni taratibu za kupanua huduma za mashirika ya umma. unafikiri vyuo vya umma wanafanya kama vikundi vya saccos bila utaratibu acha ushabiki dogo unaonekana huna elimu ya kufikiri .
  7. T

    New new new new new new,matokeo kidato cha pili mkoa wa dar es salaam waongoza kufelisha wanafunzi

    acheni ushabiki wa kijinga kupenda kuangalia mabaya tu hao watoto walio feli walikuwa na changamoto nyingi sana hasa kwa hapa dar . so hakuna sababu ya kuchekelea zaidi ya kutafuta source ya hao waliofeli na solution
  8. T

    Udom kumekucha!

    we ni mpuuzi kabisa acha ujinga wako.
  9. T

    jamani hii tabia mpya

    tatizo viweb vinavyotumiwa kutoa nafasi za kazi vingine vya kihuni afu vinafanya ujanja ujanja kutaka kuwaibia watu pesa, jamani tusiwe rahisi kutoa pesa ili tupate kitu ambacho tunastahili kukipata free. njaa inaweza kukupeleka pabaya hat hicho kidogo ulicho nacho kikachukuliwa
  10. T

    Kwanini hawa wamepata kazi bila interview (secretariat ya ajira)Utumishi?

    WEWE ndo umekurupuka hakuna kitu kama hicho kama uliomba post fulani unatakiwa kufikiriwa ktk hiyo hiyo na si kutafutiwa sehemu nyingine ambayo hukuomba kajipange vizuri unajifanya unajua taratibu kumbe na ww mburula tu shit!
  11. T

    nafasi.. Walimu

    poa mkuu ngoja tuwacheck hao wadaau ila mbona tangazo lao halijitoshelezi. ni shule, kituo au mtu binafsi, sometimes hawa huwa wayeyushaji kwa nn wafiche name of the institution
  12. T

    TEACHER'S JUNCTION OFFER!2012-2013 OFFER! Teachers Recruitment Agency inTanzania.

    Nyie wezi mbona ile elfu kumi ya form hamuitaji hapa mtandaoni au mnaona aibu, pia za zile percent za kukata ktk mshahara wa huyo mwalimu mbona hamuweki nyinyi hamfai me nilifika pale ofisini kwenu nikaona mlivyopanga kuwaibia wa tz ngoja tuulize kama kweli serikali imewapa ruhusa ya kufanya...
  13. T

    Sua sua

    Achaa usharo baro jitu zima linalia eti kisa lecture saa mbili shiinzi. komaa degree unaisotea kijana
  14. T

    Udom kama Barcelona

    Tatizo la vyuo vya kata bana yani ni uujinga uujinga. mambo yenu ya kusifia chuo ambacho head wa department ana bachelor ni upuuzi mtupu unajisifia kusoma kichina ili iweje kwa soko la hapa bongo ukikosa kazi unalalamika kumbe chuo kimeanzisha degree za ajabu ajabu. acheni ujinga wa kusifia...
  15. T

    University of Dar es salaam iamke sasa, imedumaa kwa kipindi cha miaka 50.

    hiyo namba mbili yako inaoyesha huna akili unataka wachukue watu wengi wakati sehemu ya kuwaweka hawana na hujui watu wakiwa wengi kuliko resource ni fujo. Hiyo namba tatu ni uwongo kaka hakuna kitu kama hicho ubora ndio unaonesha kitu kinakua, kwa hiyo shule zenye watoto wengi darasani...
Back
Top Bottom