Tembelea vijijini Moshi,nenda tanga vijijini,nenda singida vijijini ,nenda kondoa Kwa warangi ,nenda kaone karatu Vijijini tembelea vijini vya ,babati manyara utakuja kugundua Uzi wako ni WA kipumbavu Tu Vijijini kuna watu wazuri kama mjini au kwako mawigi,lotion na mavazi ndio uzuri.
Nenda kasome historia ya vita,hata Tanzania tulipopigana na Uganda nani walikuwa wanatusaidia na Nani walikuwa nyuma ya uganda.hata urusi anasaidiwa na Wegner,north korea.iran,Slovakia,na nchi kibao.
Wewe ni mlemavu WA ubongo lakini hujaponywa,tangu lini kiwete anatumia magongo,matepeli WA makanisani wanaandaa script na kugawa magongo na kuyakusanya,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.