Recent content by The retired soldier

  1. T

    CHADEMA tuwe makini na watu hawa, wanaharibu 'brand' ya chama

    Bora Mange kuliko nyie MNA bashite ...!! Wapo
  2. T

    Nini kinaendelea kati ya Makonda na Steve Nyerere

    Tunapoteza muda kujadili pet issues... Muda hautusubili
  3. T

    Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie Waandamana kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar Makonda

    Kwani yeye waziri wa Michezo; hana malmaka hayo..haka kajamaa hakajielewi kabsa; zero in paper translate every thing.
  4. T

    Kuhusu Korea Kaskazini: Facts zitakazokuacha Mdomo wazi

    Nchi ambayo inamgao wa umeme itaweza kupambana marekani
  5. T

    New York Times: Trump amesema Kim Jong Un ni Gentleman.

    Hakuna vita hapo...marekani hawezi ingia vitani bila washirika wake. Ikumbukwe tu, washirika wake wanaingia kwenye uchaguzi.
  6. T

    Kuhusu Korea Kaskazini: Facts zitakazokuacha Mdomo wazi

    MACHACHE ZAIDI KUHUSU KOREA KASKAZINI (Kumbukizi) 1.Bangi ni Halali kabisa nchi nzima, na haichukuliwi kama ni kitu cha kulewesha /drug. 2.Ndio nchi pekee duniani hadi sasa amabayo imewahi kuiteka meli ya kivita ya wamarekani. 3.Wakati dunia nzima leo ni 2017 kwao ni mwaka 106 wakihesabu...
  7. T

    Mbowe na wewe ni TISS au?

    Siyo kila system ni Ccm kijana..mbowe ni usalama.
Back
Top Bottom