Habari wakuu,
Pesa isikae mfukoni, tununue ardhi.
Kwa aliyekuwa anahitaji ardhi kwa ajili ya kilimo cha parachichi, sasa jibu limepatikana. Kuna shamba la ekari 60 Mufindi linauzwa kwa bei nzuri. Shamba halijatumika kwa miaka mingi, kwa hiyo lina rutuba na linafaa kwa kilimo cha parachichi na...
Kwani kuna mtu bado anaaminishwa CHADEMA ikichukua nchi ndio maisha yake binafsi yatakuwa bora. Hili nalo ni tatizo la afya ya akili. Kweli waafrika tunatumia asilimia 5 tu ya ubongo wetu.🤣🤣
Katiba Mpya ikusanye maoni ya wananchi sio wadau. Wadau wanaweza kujichagua pale Lumumba au White House Dom wakaleta maoni yao. Mchakato uwe wa wazi kama tunavyohamasishwa kushiriki sensa, vivyo hivyo tuhamasishwe kutoa maoni ya katiba mpya pia.
Katiba Mpya ni suala nyeti haliwezi kujadiliwa na wale waruka acrobatic bungeni waliozoea kujadili vioja badala ya hoja. .. 'Tanzania got talent show' iko bungeni.
Human being was programmed, compatible with prosperity.
Quitting whatever doesn’t change or takes you nowhere is one but crucial step towards meeting your goals and purpose.
Taking a quitting decision is uncommon that’s why for many it’s more than just a frightening move. When quitting most...
Understanding the Power of Information a Key to Prosperous Life
Photo source: Internet
“The best serves the purpose”
IN this fast-moving world our absolute need isn’t money —as most people might be thinking— but information that bridges the knowledge gap being able to tap into rarely seen...
Here are the Keys for Unlocking and Releasing Your Potential
Photo source: Internet
As soon as we become adult, everybody’s preoccupied with absolute desire to achieve a prosperous life.
To make the ends meet, everyone strives to economize earnings, and...
Ambitious Marriage Is Within Your Reach
Photo source: Internet.
Marriage a union of complementary parts not competitors
Marriage is one of the misunderstood and stressful things people struggle with than anything else, making it not only an optional but less important.
It’s unfortunate that...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.