Recent content by The Puncher

  1. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Sasa kama unajua ni scammer kwa nini ulitaka kulipia hivyo vitabu vyake kwa PayPal?
  2. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Nani scammer sasa?
  3. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Ushindwe wewe tu. Just as simple as that!
  4. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Link PayPal account yako na bank account yako. Ukifanya hivyo PayPal itakata kile kiasi unacholipa kutoka kwenye account yako ya benki. Ninafanya malipo kibao kwa PayPal tangu 2018. Niliunganisha PayPal yangu na CRDB account yangu. Ni rahisi na salama.
  5. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Unamaanisha unataka kulipia hivyo vitabu kupitia PayPal?
  6. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Bili zipi?
  7. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Nidanganye ili nipate nini?
  8. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Namba mpya za Voda zinazoanza na 0725… hazitambuliwi na PayPal. Nililazimika kusajili namba yenye tarakimu za zamani 0762 … ikakubali. Sahivi napokea dolari 😊😊
  9. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Oy mbona mimi inangomea ku link PayPal na Mpesa. Check hiyo error. Mliolink tujuzeni kubabeki🤨😟
  10. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

  11. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    August 5 natua JNIA hapo. Kitaeleweka tu kubabeki🤨
  12. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Huyo wa kupuuzwa tu. Hana anachokijua.
  13. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    August nikitua JNIA hapo kituo cha kwanza ni voda shop kusajili line chap🤨
  14. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Unapokea directly kwa mpesa yako kutoka wapi?
  15. The Puncher

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Nilifanya ukanjanja account yangu ikaishia kupigwa pini hadi leo.
Back
Top Bottom