Kuna msichana aliniacha kwa maumivu makali mno wakati bado nina mpenda na tulipanga mipango mingi sana na tulidumu katika mahusiano kwa miaka 5.Nilijaribu kila mbinu kurudiana na huyu msichana lakini ikashindikana ,nilijaribu kuvumilia maumivu kwa miaka miwili ili nimsahau lakini sikuweza kabisa...
Wakuu sina mengi ya kusema hakika inauma sana ,maumivu yake moyoni hayaelezeki .
Siwezi kuelezea ..amesema amepata mwanaume mwingine zaidi yangu
Nimemuuliza tatizo nini anasema hakuna tatzo.
Nimetoka nae mbali sana almost 5yrs ya mahusiano, Naona kama ndoto hakuna baya nililomfanyia
Wanawake...
Huyu ex wangu alinisaidia sana kipindi nipo a level mpaka chuo, kifupi yeye ndiye aliyenisomesha mpaka nimemaliza chuo.
Nyuma ya pazia alikuwa anatumia pesa za jamaa yake kunisomesha mpaka namaliza chuo baadae akaniambia tuachane tu yeye aendelee na jamaa yake kiukweli niliumia sana roho...
Leo mitaa ya tegeta tulikuwa tunazunguka zunguka ,ghafla mchumba yangu ambaye mke wangu mtarajiwa akaniambia tuingie dukani la viatu kwa rafiki Yake tukamsalimie.
Baada ya story n.a. shangaa mwenzangu kachukua viatu kaweka kwenye mfuko akasema baby lipia hapo viatu elfu 25.
Daah roho iliuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.