Sikujui ila yafuatayo nauhakika kukuhusu
1.Hufanyi kazi halali ni chawa usie na mawazo yako unakaa upamde wa wenye nguvu
2.Huna elimu kabisa.Kulia na kuzimia zinaitwa involuntary actions sheria huwa haizigusi ni haki za asili toka kwa mungu sio ccm katiba wala utashi wa mtu ni zipo tu.sihitahi...
Asee Heche ni mwamba .
Baada ya msiba huu mzito ni wazi Ccm wakishirikiana na watu wao Hususan Mbowe na zitto kuwatumia kuhakikisha msiba hauwapi Milage Chadema kwa mbinu mbali mbali .naomba mtililiko ya yaliyojiri
- Kipenga kilipigwa kwa mbowe kutumia umkwe kuwa msemaji wa familia ,sisi...
Mkuu usitafute dhambi zisizo na tija kwa nini utukane group nzima ya jamii kuna walokole wehu na werevu na kila kundi liko hivo .hawasomi maprofesa wehu wapo ndo itakuwa walokole?? Jifunze kujiheshimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.