Unafananisha zanzibar?? Na tz bara ? Hujui wako mil 2? Yaan kasulu ina watu mara mbili ya zenji.ni kama familia ndogo ya watu watatu haiwezi kula matikiti kila siku yataharibika ila mkiwa 10 ni rahisi inaitwa economies of scale .kuna faida na hasara za udogo na ukubwa wa nchi,uchumi wa dunia...
Magu alikuwa dikteta,muuaji ,muasisi wa ulawiti na utekaji wa matajiri na raia wapinzani.kama alikuwa anajuankusimamia mapato why deni lilipanda mara dufu
Naomba nianze na kukutukana ***** we huna akili kabisa na nauhakika hujasoma .
Hivi huwa mitandaon unazunguka kuangalia matako ya wasanii?? Hajujaona vita vya irani kabisa ? Wala vijiweni hujasikia ? Je hapa Tanzania tunazalisha mafuta?? Je kuna nchi ambako bei zimeshuka usa mafuta ni elfu 5 ww...
Je katiba imesema hayo maneno unayosema ?? Kuna mahali imetaka wachapwe watu viboko?? Je unaweza vunja katika katika kuilinda katiba? Sikujui hunijui ila nauhakika wewe ni kilaza shuleni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.