Kagame pia huwa hana akili namjua sana nliwahi fanya kazi kampuni yao yuko ka mvuta bangi,et kaitransform rwanda ina maana hujui nchi za kidictator huendelea kasi na kurudi nyuma kasi ,umesima historia mkuu au na ww mnyarwanda nisijisumbue maana huwa vilaza
Umetamka neno kutawala ni kutawala ,wanyarwanda hata ninunue kiwanja nikijua ni jiran nauza ni wanamaagizo ya malez kuwa wako juu ya wengine lakini mungu mwema nimesoma nao huwa hawana akili
Sijawahi kukuelewa unataka nini ni kama ukiongea uko very straight juu ya ukandamizaji nchini,ila andika yako ni kama unapaka ukweli rangi ,ila may be upeo wangu mwembamba pengine unaandika deep kijornalist ambapo mm mweupe.
FACT
-Wema ni msaliti wa mapinduzi ya kihali
-wema ni msichana wa...
Unafananisha zanzibar?? Na tz bara ? Hujui wako mil 2? Yaan kasulu ina watu mara mbili ya zenji.ni kama familia ndogo ya watu watatu haiwezi kula matikiti kila siku yataharibika ila mkiwa 10 ni rahisi inaitwa economies of scale .kuna faida na hasara za udogo na ukubwa wa nchi,uchumi wa dunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.