Recent content by The only Living Dinosaur

  1. The only Living Dinosaur

    Masters na Bachelor vilinikosesha ajira nikaokolewa na Certificate

    na pengine hii ndiyo sababu wasomi wengi wanajichelewesha kwenye maisha "wanataka kile walichosomea ndicho kiwaingizie kipato"
  2. The only Living Dinosaur

    Masters na Bachelor vilinikosesha ajira nikaokolewa na Certificate

    Mafanikio huja kwa kupitia mlango wa nyuma, tunavyovitegemea mara nyingi havitupi msaada, na vile tunavyovichukulia poa ndivyo vinavyokuja tuheshimisha
  3. The only Living Dinosaur

    Mjue Mungu "Amen" wa Misri. Ambae leo tunamsujudia Bila Kujua

    Kwa namna nyingine ni sawa na kusema kuna Jesus wengi sana, yupo wa man-city, yupo wa yanga, yupo bar-yesu (aliyelaaniwa na mitume) pia Yupo YESU wa nazareti, na yawezekana kabla ya Yesu wa nazareth kulikuwa na Yesu mwingine lakini hii haimfanyi Yesu wa nazareth kutofaa tena... kuwepo kwa huyo...
  4. The only Living Dinosaur

    Mjue Mungu "Amen" wa Misri. Ambae leo tunamsujudia Bila Kujua

    naweza kukujibu hivi.... Kama ambavyo mwalimu wa Civics anaweza akawa ni mmoja (form 1-4) lakini katika mtihani wa csee kila mtu akajibu essays kwa vile alivyokuwa amemuelewa mwalimu wake Mungu naye ni mwalimu, huwafundisha watu wake neno lake, lakini tumepishana katika uelewa, huyu kamuelewa...
  5. The only Living Dinosaur

    Mjue Mungu "Amen" wa Misri. Ambae leo tunamsujudia Bila Kujua

    Kwa ufahamu wangu mdogo katika lugha unaposema ALIKUWA hiyo ni past tense, so hana vigezo vya kuitwa Mungu tena maana uwezo wake ni wa wakati ule sio sasa... Pia umesema "kuliko miungu mingine mingi" nashukuru haujasema yote...means hana vigezo vya kuwa Mungu kwakua sio OMNIPOTENT, alikuwa...
  6. The only Living Dinosaur

    Blacks getting different COVID-19 vaccine than whites?

    sidhani kama amekataliwa kwasababu ya race yake, amekataliwa kwakua aliyesajiriwa na aliyekuja kupata chanjo ni watu wawili tofauti, aliyejisajiri ni mweupe na aliyefika ni mweusi. angejisajiri kama mtu mweusi halafu akakataliwa asipate chanjo ningesema kuna ubaguzi
  7. The only Living Dinosaur

    Sarah Baartman: Mwanamke mweusi kutoka Afrika Kusini aliyesafirishwa Ulaya kwa maonesho ya makalio makubwa

    Bro! hii ipo mpaka sasa, hakuna biashara ya utumwa lakini Utumwa wenyewe upo.. mambo mengi jamii za watu weusi hawana kauli yao,ila wanataka kauli itoke kwa wazungu huu ni utumwa..... kuna wakati PSB aliwahi sema KIKITOKA ULAYA NI TECHNOLOGY lakini kikitoka Africa hicho kitu watasema ni...
  8. The only Living Dinosaur

    Mfahamu Leonardo Da Vinci (1452 - 1519)

    Bro story ni fupi sana....kama beki wa timu fulani hapa nchini, kwann lakini????? kwa anayejua vizuri story ya huyu mwamba atusaidie please
  9. The only Living Dinosaur

    Kumpangia mteja aina ya kitambaa/nguo ya kuvaa kwenye taasisi ya umma

    Mkuu wewe unafaa sana kuwa mwalimu wa NIDHAMU, sio kwa kukagua huku
  10. The only Living Dinosaur

    Umoja wa Mataifa uwaangalie China kwa jicho la pili

    Mambo mengine ukiyafuatilia sana utaogopa kufanya mambo yako
  11. The only Living Dinosaur

    Umoja wa Mataifa uwaangalie China kwa jicho la pili

    in other words IF YOU CAN'T CHANGE IT CHANGE YOUR MIND
  12. The only Living Dinosaur

    Mjue Eugene Maganga mhusika wa njama za kuipindua Serikali ya Rais Julius Nyerere Januari 9, 1982

    kwa mimi niliyesoma shule ya Technical, naona nyota tuu hapa (nimemtambua Hans Pope na Baba wa taifa tuu)
  13. The only Living Dinosaur

    Vifaa vya ujenzi vyapanda bei

    Round hii tutasoma mpaka namba za kirumi.... Maisha yamekua ghali sana Hapo bado haujaulizia bei za mbolea
Back
Top Bottom