Nimeibiwa laptop aina ya hp hapa bukoba mjini byekera maeneo ya kasarani. Ina window 8.1 pro kwa aliyeiona au kuichukua nitext 0715 276 275 au 0765 276 275. Hasante kwa upendo na kujali
Nimeibiwa laptop aina ya hp hapa bukoba mjini byekera maeneo ya kasarani. Ina window 8.1 pro kwa aliyeiona au kuichukua nitext 0715 276 275 au 0765 276 275. Hasante kwa upendo na kujali
Nimeibiwa laptop aina ya hp hapa bukoba mjini byekera maeneo ya kasarani. Ina window 8.1 pro kwa aliyeiona au kuichukua nitext 0715 276 275 au 0765 276 275. Hasante kwa upendo na kujali
Nimeibiwa laptop aina ya hp hapa bukoba mjini byekera maeneo ya kasarani. Ina window 8.1 pro kwa aliyeiona au kuichukua nitext 0715 276 275 au 0765 276 275. Hasante kwa upendo na kujali. Pia naomba msaada wa kisheria kwa kua namshukia jirani kwa asilimia mia moja
Tunaitaji kiongozi wa kuimarisha ustaarabu wa Mtanzania pamoja na kuadilisha watanzania, ikiwa ni jambo linaloitaji mtu mwenye msimamo na asiyeyumbishwa na chama, watu flani wenye uwezo kifedha au kimasali kwa namna yeyote.
From third World to First: Singapore and the Asian Economic boom Case study.
From third world to First ni kitabu kilichoandikwa na waziri wakwanza wa singapo Bwana. Lee Kuan Yew. Singapo ni inchi ambayo imetengenezewa na watu (man made) ikiwa maana ni inchi ambayo haina rasimali za asili kama...
UKIFIKA ule mda wa kujiandikisha kupiga kura vijana wote kuanzia umri wa miaka 18 wajiandikishe kupiga kura na ikifika kipindi cha upigaji kura kampigie kura yako mtu YEYOTE kutika ukawa. Usiache na ukiache usilalamike inchi inaongozwa na wanyonyaji, wala rushwa. Wengi ni washabiki na sio...
Wadau naomba kujua kama endapo ntanunua bidhaa kutoka mtandaoni mfano ebay au amazon ntalipia tena gharama nyingine itakapo fika hapa nchini kwa kutumia urgent kama DHL au FEDix? Asanteni :noidea:
Wadau wa uchumi naomba mnipatie majibu yakinifu kwanini dollar inapanda sana kila hasubuhi.
Pia EXCHANGE RATE inafanyika je na nivigezo gani vinafuatiliwa kuandaa
Swali la nyongeza: Hivi ukinunua kitu online mfano ebay zile bei za bidhaa plus usafirishaji zinakutozwa bei mara mzigo ufikapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.