Recent content by The Next MP

  1. T

    JamiiForums Tanzania Rostam Maelezo yake yamenyooka na yanaeleweka. Huenda Mtangazaji ndiye ameshindwa kumhoji

    Japo sijamsikia Rostam, Mwandishi anamchukulia Rostam kama role model wake ndio maana anaona maelezo ya Rostam yamenyooka.
  2. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania House girl wangu anataka tufanye mapenzi

    Wewe ndo unayetaka, yeye hawezi kuanza hivihivi ukizingatia wew ndo boss wake
  3. T

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

    Mikopo inatajirisha sana sana. Kikubwa ukikopa, rejesha kwa kutumia Faida na lengo lako hapo linakuwa kwamba utakapomaliza marejesho ule mkopo utabaki kuwa mtaji wako. Ukifanya hivyo mara 3 au 5 unatoboa. Ukishakopa unapaswa kujinyima kwa Nguvu zote, hata aumwe nani au afe mtu, usiitumie pesa ya...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Mahitaji mdau wa kufanya nae Biashara au anikopeshe au Ushauri

    Ni duka la bidhaa za dukani za Jumla jumla, nimefanya kwa miaka 5.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Mahitaji mdau wa kufanya nae Biashara au anikopeshe au Ushauri

    Wana JF natumaini mko salama. Naomba kushirikisha suala moja hapa, Katika kupambana kwangu na harakati za kujikwamua, nikafanikiwa kununua Kiwanja na kujenga nyumba. Pia nikafungua biashara ya bidhaa za Jumla jumla za Dukani. Nilianza na Mtaji wa milioni 4, Baadae Mtaji ukafika mpaka milioni...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Nimeingia bank, Kuna watu pesa wanayo

    Kama una Matatizo na Stress zinazotokana na kukosa Pesa nenda Bank, ukishafika unajimalizia kwa kuanguka na Pressure na kazi yako ya kuja Duniani inakuwa imeishia hapo.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Kama kweli Yesu aliteseka msalabani kwaajili yetu ili tusamehewe dhambi zetu, sisi tunatubu ili iweje?

    Mi naona hao Wanafunzi wa Yesu na Mitume wengine kama Muhammad, hawakututendea haki, walipaswa kuuliza maswali magumu kabisa yanayohusu Mungu na uumbaji. Walipaswa kuuliza maswali mengi kabisa mpaka kusiwepo na Mashaka yoyote. Anagalau Musa aliwahi kuuliza kinachoaminika kuwa Mungu kwamba kwani...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Kama kweli Yesu aliteseka msalabani kwaajili yetu ili tusamehewe dhambi zetu, sisi tunatubu ili iweje?

    Nashawishika kuamini hivi. Kabisa Hatujui na hatujui kama hatujui.
  9. T

    JamiiForums Tanzania Kama kweli Yesu aliteseka msalabani kwaajili yetu ili tusamehewe dhambi zetu, sisi tunatubu ili iweje?

    Mimi ninavyoona haya mambo ya Mungu sisi wanadamu tunayajua kwa umbali sana sana yaani ni kama kipunje Cha ulezi ndo tunajua. Ila Kuna Mambo makubwa sana Kuhusu Mungu hatuyajui bado. Sasa hapa Kikubwa Wacha tuamini kwenye kakiwango hako hako kama kapunje ka ulezi. Mengine tutayajua Yesu akija au...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu nyumba yangu Bagamoyo

    Huwezi kuwa Kila unapohamishwa lazima ujenge. Tena ushukuru Chalinze Bagamoyo ni Karibu tu ukizingatia miundombinu ya barabara. Ukiona unachoka panga room ya kawaida tu uishi huko ila Kila weekend unarudi kujumuika na familia ili kusevu nauli ambazo utaanza kujenga taratibu Chalinze
  11. T

    JamiiForums Tanzania Kama kweli Yesu aliteseka msalabani kwaajili yetu ili tusamehewe dhambi zetu, sisi tunatubu ili iweje?

    Hahahahah, ilinitokea Mimi Kuna magroup Facebook nilifuatilia yanahusu mambo ya kukosoa Mambo ya Mungu nikaamua niondoke nilianza kuhisi kupotea hivi na nikaona kama naanza kuhama reli. Nikablock makundi yote. Mfano alihoji kwa ukubwa wa Safina aliyotengeneza Nuhu na vitu vilivyoingia ndani ni...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Kutojua Makonda yuko wapi na Hali gani, Hatuna Vyombo vya habari vya Kiuchunguzi

    Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda. Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi. Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania...
  13. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo ni siku ya Urafiki Duniani. Unajivunia nini kutoka kwa Rafiki zako?

    RIP rafiki yangu. Sijawahi pata rafiki mwingine huyu jamaa. Wengine wababaishaji tu, wakiona unafilisika wao wanafurahi. Lakini Rafiki yangu alikuwa hawezi kukubali Mimi nitetereke kibiashara anaweza kuspend siku tatu kwenye ofisi yangu anahangaika kuinusuru ofisi isife, mpaka sometimes unaona...
  14. T

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Luhaga Mpina amshtaki Spika Tulia na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuondolewa Bungeni kinyume na Sheria

    Mpina ndio Miongoni mwa vijana Nyerere alikuwa anataka.
Back
Top Bottom