Wewe huwa unapata wapi usingizi wakati wenzio wakiwa wanatafuta ela?
Muda wako wa kulala ndo muda wangu wa kutafuta elaa, na mda wako wa kutafuta ela ndo muda wangu wa kulewa.
Usiniulize na lala sangapi!!! Ntakujibu kua ntalala siku pumzi imekata.
Mkuu mkopo uliokopa na riba was very fair....
Maana kwa haraka haraka riba ilikua ni 18% perannal...
ukiipigia for 6 years ulitaka urudishe kiasi gani na umekaa na ela za watu?
Interest inacover vitu kama
- Time value of money
- Inflation rate
- Risk on loan premium
etc etc....
Ulikopea bank...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.