Noma sana!
Nakumbuka mwaka jana nilimtembelea rafiki yangu Buza,kuna ukumbi ukitoa buku unachovya kidole kimoja..elfu kumi unachovya vidole kumi mpaka mkono unaloa
Mkuu Nguruvi3 nimependa uandishi wa hoja zako,umeelezea kwa lugha nyepesi na yenye kueleweka saana..
Kwenye hili sakata la COVID 19 kuna makosa pande zote 3,chama,wabunge na spika.
Lakini hoja kuu ya pascal ni chanzo cha tatizo...na hili thread yake kama nimemuelewa ka base kwenye kuishauri...
Kama hili linajulikana ni kipi kinachowazuia kuchukua hatua juu ya mwenyekiti?
Kwa kumbukumbu zangu jamaa si mara ya kwanza anachoma dawa ya mbu disko.
Nilicho muelewa bwana Pascal Mayalla hayupo kujadili goli ni halali ama si halali,bali anataka kujadili build up ya goli,yaani kabla ya goli la speaker je movement nzima ya goli imeanzia wapi?!!
Na kingine nilichojifunza CCM wanatumia sana madhaifu ya CHADEMA kuwaburuza...mh.spika nahisi kaisha...
Unaelewa majukumu na kazi za hao unao waona hawana maana?!
Kwahiyo kwa kauli yako Shule hazipaswi kuwa na Mwalimu Mkuu?
Kwahiyo kwa kauli yako Jeshi alipaswi kuwa na Chief of Defence Forces?
Ebu ficha ujinga wako.
Hao wote wanateuliwa na wala hawachaguliwi na wale waliochini yao.
Alichofanya mbona kipo sahihi,tena hivyo ndio itamuamsha waziri wa afya kujiuliza alikuwa wapi mpaka Waziri mkuu anatoka alipotoka kuja kumuwajibisha Mkaguzi mkuu wakati yeye yupo!...that's an indirect criticism to Waziri wa Afya na wote walio juu ya Mkaguzi.
#bampa2bampa
#mpaka2025
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.