Recent content by The Kybalion

  1. The Kybalion

    Kitabu gani cha kusoma baada ya Forex Bible na Candlestick Bible?

    Forex nzima imefafanuliwa Ndani ya kitabu kimoja tu, kinaitwa The Forex Bible Ukikisoma hicho kitabu hakuna Haja ya kusoma kitabu kingine chochote ili kupata basics Baada ya kusoma hicho kitabu, tambua ni strategy ipi ambayo ungependa kutumia kisha tafuta vitabu vinavyoelezea hio strategy...
  2. The Kybalion

    Nitatue matatizo gani ili niwe billionaire?

    Unataka kuwa Billionea na hujui ufanye nini? Upo tayari kujifunza kutoka kwa mtu ambaye hana net worth hata ya 500 USD? So, you said Yes Well, thanks for your vote of confidence, Sasa tuendelee... ... Ni muhimu kuwa na ujuzi wa aina Mbili #1 Marketing #2 Product Development Unaweza...
  3. The Kybalion

    The Guardian: Kuhusu kushuka kwa idadi ya watu wa Nchi ya Korea Kusini

    Ndo Hiki ndicho kitu ninachosema Huu ushauri ungetolewa kwenye karne ya 18 au 19 hivi ungekuwa ni sahihi Sio kwa Zama zetu za leo
  4. The Kybalion

    The Guardian: Kuhusu kushuka kwa idadi ya watu wa Nchi ya Korea Kusini

    Mkuu mimi sibishi kwamba suala la Population yao ni tatizo. HAPANA Nakataa hoja zinazodai African Population is a threat kwa Europe & America Pia siungi mkono Hoja yako ya kusema tuongeze idadi yetu afu tukawe nguvu kazi huko kwa wazungu. Sijui kama naeleweka vizuri, naomba usome mchango...
  5. The Kybalion

    The Guardian: Kuhusu kushuka kwa idadi ya watu wa Nchi ya Korea Kusini

    Mkuu samahani kwa Lugha niliyotumia hapo awali, ila Lengo ni Moja tu... ... Kuonesha msisitizo juu ya ninachokiamini Hoja yako hapa ni nzuri sana. Huo Uchumi unaoongelewa kwamba China itakuwa Super Power ni hadithi tu, unakuwaje superpower huku wananchi wakiwa masikini? USA ni tofauti...
  6. The Kybalion

    Hawa wenzetu Wa-Asia wanatuzidi nini?

    Jibu ni Dogo tu, Uelewa mdogo juu ya Biashara. Sisi hatupendi kujifunza, hatupendi kusoma Tujiulize tu, ni wangapi kati yetu huwa tunajisomea vitabu vya jinsi ya Kuanzisha, kumsimamia na kukuza biashara? Unaweza kuniambia mbona hata waAsia hawasomi vitabu Ni kweli, ila... .. Wao...
  7. The Kybalion

    Export business - From Tanzania to the world

    Hapa inaonesha Ushajua need ya huko Duniani, Russia nk Kinatochotukwamisha ni kushinda tunajadili vitu bila kuvifanyia kazi, Hao Watu unaotaka wakujibu unahisi wanafanya hivo vitu? Kwanini wewe usiwe sehemu ya Mfano kwa kufanya Maamuzi ya Kuanza leo, kisha kesho uje ushauri wengine kutokana...
  8. The Kybalion

    The Guardian: Kuhusu kushuka kwa idadi ya watu wa Nchi ya Korea Kusini

    Huu ushauri ni Mzuri sana ila hauendani na nyakati Ingefaa utolewe karne ya 18 au 19 hivi Huwa sielewi dhana ya kusema Idadi ya sisi, wa-Afrika ni tishio kwa Ulaya na Amerika Kwanini? Katika karne ya 21, bado Kuna Watu wanaamini wingi ni Hoja? China ina Watu wangapi? Kwanini walibadili Sera...
  9. The Kybalion

    Umesoma vitabu gani mwaka 2020?

    Mkuu Mimi huwa nasoma softcopies, ukiangalia katika Titles hapo juu hakuna hata kimoja utakachokikuta bookstores za Bongo labda uagize Amazon Hivyo vitabu ni ghali sana huko Duniani, Mfano kitabu cha Breakthrough Advertising bei yake ni zaidi ya Million. Sina uwezo huo 😂 Na kuhusu hilo...
  10. The Kybalion

    Umesoma vitabu gani mwaka 2020?

    Tunajifunza Tu Mkuu, though naona iko na Potential Kubwa ukizingatia kwamba Online Business zitaenda kukua Kadri muda unavyosonga mbele
  11. The Kybalion

    Umesoma vitabu gani mwaka 2020?

    Baadhi ya vitabu nilivyosoma mwaka 2020 1. Breakthrough Advertising by Eugene Schwartz 2. The Boron Letter by Gary Halbert 3. Never Split the Difference by Chris Voss 4. Traffic Secrets by Russell Brunson 5. Small Business Big Money by Akin Alabi 6. Sell Your Brain by Ronald Nzimora 7...
Back
Top Bottom