Yaani dunia itakosa amani yote ndani ya muda mfupi,mahalaiki ya watu watakuwa wanauwawa hovyo,maana wao hawaamini pengine kwenye kubadilisha wasio upande wao wawe upande wao,wao wanachoamini ni kuua makafiri🙌🙌
Ni hatari kweli,lakini ni heri mara 100 huyo kiduku anayemiliki kwa minajili ya kulinda ukuu wake mbele ya wakubwa wengine,hawa wenzetu wao wanataka silaha kali ili kupigania Alah(kupambana na ukafiri na kuintroduce sharia dunia yote) sasa hawa ni wauaji
Kaka,kumjua haibadilishi uhalisia kwamba hawa watu wenye msimamo mkali wa kidini hasa waislamu ni hatari mara dufu endapo wakimiliki silaha nzito,maana wasio upande wao kiimani huwaona hawana haki ya kuishi na wamewa majina wanawaita makafiri,matukio mangapi yanatokea ya mauaji kwa sababu hizo??
Ila twendeni mbele turudi nyuma,hawa watu wenye msimamo mkali kama wakifanikiwa kumiliki hizi silaha hatari hakika dunia yote itafutika,maana uamuzi wa kuzitumia kwa ajili ya muhanga ni swala la dakika,just imagine vikundi mbali mbali ikiwemo hapa Afrika vinachochinja watu na kuua kikatili wasio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.