Recent content by The kankara

  1. The kankara

    Pakistan, India wana silaha za nyuklia kwanini Iran ikatazwe?

    Yaani dunia itakosa amani yote ndani ya muda mfupi,mahalaiki ya watu watakuwa wanauwawa hovyo,maana wao hawaamini pengine kwenye kubadilisha wasio upande wao wawe upande wao,wao wanachoamini ni kuua makafiri🙌🙌
  2. The kankara

    WanaJF naomba ushauri wenu kuhusu wema wa boss wangu

    Unatafakari nini,boss ni wa kiume ama wa be kike??
  3. The kankara

    WanaJF naomba ushauri wenu kuhusu wema wa boss wangu

    Basi tena,jamani tusifike mbali ramadhan hii na kwa resma,ngoja tumuache atakuja kutuambia tena 😁😁😁😁
  4. The kankara

    WanaJF naomba ushauri wenu kuhusu wema wa boss wangu

    😂😂😂😂😂😂Na chenchi kasema huwa anazidishiwa na yeye anapokea
  5. The kankara

    WanaJF naomba ushauri wenu kuhusu wema wa boss wangu

    Au ndo hivo tena?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  6. The kankara

    Pakistan, India wana silaha za nyuklia kwanini Iran ikatazwe?

    Ni hatari kweli,lakini ni heri mara 100 huyo kiduku anayemiliki kwa minajili ya kulinda ukuu wake mbele ya wakubwa wengine,hawa wenzetu wao wanataka silaha kali ili kupigania Alah(kupambana na ukafiri na kuintroduce sharia dunia yote) sasa hawa ni wauaji
  7. The kankara

    Pakistan, India wana silaha za nyuklia kwanini Iran ikatazwe?

    Kaka,kumjua haibadilishi uhalisia kwamba hawa watu wenye msimamo mkali wa kidini hasa waislamu ni hatari mara dufu endapo wakimiliki silaha nzito,maana wasio upande wao kiimani huwaona hawana haki ya kuishi na wamewa majina wanawaita makafiri,matukio mangapi yanatokea ya mauaji kwa sababu hizo??
  8. The kankara

    Pakistan, India wana silaha za nyuklia kwanini Iran ikatazwe?

    Haya makundi yanayochinja watu huko msumbiji,nigeria,somalia na kwingineko kwa kuita watu kafiri wanadhaminiwa na america?
  9. The kankara

    Pakistan, India wana silaha za nyuklia kwanini Iran ikatazwe?

    Ila twendeni mbele turudi nyuma,hawa watu wenye msimamo mkali kama wakifanikiwa kumiliki hizi silaha hatari hakika dunia yote itafutika,maana uamuzi wa kuzitumia kwa ajili ya muhanga ni swala la dakika,just imagine vikundi mbali mbali ikiwemo hapa Afrika vinachochinja watu na kuua kikatili wasio...
  10. The kankara

    WanaJF naomba ushauri wenu kuhusu wema wa boss wangu

    😁😁😁😁 Hebu atuambie kwanza
  11. The kankara

    Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

    Kaka,Mungu kakuletea mke mpaka mikononi,shauri zako,hayo ni makusudi ya Mungu kakupa mke ili umuamini akukuletea na mtu mliosoma pamoja!
Back
Top Bottom