Recent content by The kankara

  1. The kankara

    JamiiForums Tanzania KERO Mirathi yetu inacheleweshwa kulipwa bila sababu za msingi na Kitengo cha Malipo ya Mirathi

    Hizi mambo zinakera sana,tuna maumivu kama hayo
  2. The kankara

    JamiiForums Tanzania List ya Samsung zitakazo pokea mfumo mpya na ratiba kamili

    Fine! I will stay with my S9 perfectly 😆😆
  3. The kankara

    JamiiForums Tanzania KERO Baba alifariki 2015, Fedha zake zikahifadhiwa Mahakamani Dodoma, tumekamilisha taratibu lakini tunasotea hadi leo

    Ila hawa wanatakiwa walipe hela ya watu,watumishi ni wa kwao,jambo ambalo lipo nnje kabisa na fedha za marehemu
  4. The kankara

    JamiiForums Tanzania KERO Baba alifariki 2015, Fedha zake zikahifadhiwa Mahakamani Dodoma, tumekamilisha taratibu lakini tunasotea hadi leo

    Chombo cha kulinda maslahi ya wananchi,ndo kinakula maslahi ya wananchi!🙌🙌🙌
  5. The kankara

    JamiiForums Tanzania Prof. Deogratus Kisandu Aka Civilian Coin anaongea kwa Code kali sana. Kama huna F mbili huwezi mwelewa

    Hizi tabia za kuzusha mambo si nzuri,mnaendelea kuligawa taifa,mnataka kuingia kwenye ukabila sasa!!Hebu pitia haya mazungumzo na AI,pengine kuna jambo ukajifunza!
  6. The kankara

    JamiiForums Tanzania Unadhani Makamu Mwenyekiti wa chadema taifa anaweza kua anapitia hali gani kisaikolojia baada ya tuhuma zake za ufisadi kutrend sana mitandaoni

    Mangapi wamepitia mpaka kufika hapo halafu hili ndo liwe la ajabu??Tena kwa jambo la kuzusha??Labda ujiulize wale waliomzushia na halijafanya kazi wanapitia hali gani kisaikolojia??
  7. The kankara

    JamiiForums Tanzania Unadhani ni sababu zipi hasa zimemchochea makamu mwenyekiti wa chadema taifa kutumia fedha za chadema kujikomboa yenyewe binafsi kiuchumi?

    We ulikuwepo nae wakati anatumia ama una uhakika wa haya unayosema??Nyie watu bhana🙌🙌
  8. The kankara

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Fata ya kwako aisee,ugumu mwingine wa maisha ni wa kujitakia,achana nae,hata kama sio swala la kukataa kazi mimi nikiona maisha yamekuwa magumu nitamshauri mwanamke ajiongeze tuu
  9. The kankara

    JamiiForums Tanzania Ni soko gani Dar linaongoza kuwa na mazaga ya bei rahisi?

    Kaka,labda ulime vya kwako tuu😅😅😅
  10. The kankara

    JamiiForums Tanzania Ni ujinga kwa Watanzania kushangilia msaada wa afya wa USA wa USD 1.3b bila kujua masharti yake yote; Zambia, Ghana, na Zimbabwe wayamekataa!

    Anyway,mimi ntaendelea kujitibia local! Hapa ni kwa mujibu wa gemini
  11. The kankara

    JamiiForums Tanzania Mara yako ya kwanza kushika zaidi ya TSh bilioni 1 ilikuwaje?

    Labda ndo tuanze
  12. The kankara

    JamiiForums Tanzania Jamal Bakhresa: TFF imeharibu mpira wa Tanganyika. Azam FC nitaihamishia Zanzibar

    Sawa,si anaiepeleka nyumbani,sio mbaya!
  13. The kankara

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kuleta ushahidi ni lini WaMorocco walisema wao sio Waafrika

    Hili swala ni yale mambo ya mashabiki tuu mitandaoni,ila haikuwa kauli official
  14. The kankara

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na Demu wa Kiarabu Toronto. Amenifundisha jambo la ajabu sana

    Bila picha hi ni hadithi ya kusadikika
Back
Top Bottom