Takwimu zinaonyesha kuwa mpaka mwaka 2012 walikuwepo TEMBO 150,000 tu katika mbuga zetu zote hapa Tanzania, meno 347 ni sawa na TEMBO 174. Kwa kasi hii ya CCM (Kinana) Jeshi, na mapolisi TEMBO wakafutika kwenye orodha ya wanyama walioko TANZANIA.
Sikuwahi kuungana mkono na Kikwete,lakini kwa jambo hili nitamuunga mkono dhidi ya huyu CHIZI wa rwanda. Ni wakati wetu Watanzania kujitambua na kuondoa hizi dharau huyu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.