Binafsi hapana ila nimetafutwa mara kadhaa kutoa recommendations kwa mtu au kuwapa mtu anaefaa na nimewaunga kadhaa na kazi.
Ni nzuri jitahidi page iwe active kuonesha kazi zako na profile pia iwe recently
Nenda hospital kuna magonjwa huwa yanatokea, yanapotea nnje yanaendelea kula ndani, yakija tokeza kwa awamu ya pili ndio majanga inakua too late. Tibiwa wewe na ulietembea nae
Nadhani hapo kwenye kipigo kuna kiwango na uzito wa fimbo zenyewe kuna kupiga kurekebisha na kuna kupiga kuua sasa. Mtoto anarekebishwa sio una mkomoa au kushindana nae.
Inauma mwanao kuchapwa ila kuna muda haina jinsi
Chunguza tena wazungu wanapigwa vizuri tu.
Haya wanaotuonesha nje ni uongo mwingi. Na wazungu wanafanya kazi kuanzia miaka 14 ndogo za ujira mdogo kujifunza maisha. Mfumo wao wa maisha ni tofauti kidogo na wa kwetu tazama hilo vizuri. Sikumbuki mtoto nimempiga lini mara ya mwisho ila anajua...
Hello habari
Natamani kukusaidia ila kuna ukakasi kama wewe umeshindwa kuweka email yako sababu ina majina yako kwa nini mimi niweke email yangu ili utume motivational letter na CV ambayo inamajina kabisa yangu na jina la kampuni?
Best.
Dah story inafunza mengi sana sana. Umenikumbusha nikiwa nakua huko jijini Tanga, maskani ilikua jirani sana na nyumbani ila upande wangu ilikua tofauti sana wauni wa pale wala unga,bangi,ukabaji walikua wanapenda sana vijana tusome. Sote tuliokua tukisoma kuanzia primary mpaka sec walikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.