Recent content by The Heir

  1. T

    JamiiForums Tanzania Wanawake wapewe fursa ya kushiriki michezo kwa maendeleo

    Siku hizi wanawake wanashiriki kila kitu,, lakini bado naona wanasapotiwa tu. Okay msiwasahau na wanaume nao wawezeshwe kabla mambo hayajaharibika
  2. T

    JamiiForums Tanzania Massare asema SGR imechukua maeneo ya Watu, Serikali itende haki, iache dhulma

    Mbunge aliyechangia swala kikokotoo hapo nina mashaka kwenye ufahamu wangu iwapo amepangwa aseme hivyo au ni utashi wake umemtuma. Hivi kweli kikotoo kilivyokaa ni cha kuwa na ujasiri wa kukitetea!!??. Ile ni dhuluma ya wazi sema tu ukisema useme sana ni machozi ya samaki kwenye maji
  3. T

    JamiiForums Tanzania Ikitokea Ukanda wa Middle East Waarabu wakaungana wakaipiga Israel na kuiangamiza. Je, asili ya Israel itabaki pale?

    Acha kuipinga biblia kwani hata hao ambao unasema biblia inawapa uhalali hawaiamini ni mashetani kabisa. Waisraeli wenyewe siyo wale
  4. T

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU: Rushwa katika Taasisi za Dini hutokea wakati wa Uchaguzi wa Viongozi

    Sheria ikubali kuwa viongozi wa dini hawachaguliwi. Lakini wakiendelea kulazimisha wachaguliwe,,basi nakiri wataziharibu na wamefanikiwa kuziharibu sana hizi taasisi za kidini
  5. T

    JamiiForums Tanzania TBS: Mchele, mafuta ya kupikia ya alizeti na maharage kutoka Marekani, ni Salama kwa Walaji

    Yaani Bashe kasema wangenunua hapa hapa ili kuleta fedha ndani ya nchi kwa sababu tuna mchele mwingi lakini wao naona wanataka kutuletea walakini
  6. T

    JamiiForums Tanzania The globalist plan to eliminate all farms: No more food and no more humans

    Kiongozi huyo atakuwa naye ni globalist,,,,, yupo hapa ili kutupunguzia kasi ya kuelimika na kuugundua mtego
  7. T

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yashinda Shauri la Usuluhishi katika Baraza la Kimataifa la Biashara (ICC)

    Falme za kiarabu ndiyo tumeingia nao mkataba wa bandari, watatunyosha kama kisasi kwa kesi hii tuliyowashinda. Tuombe Mungu
  8. T

    JamiiForums Tanzania Waziri Mwigulu: Tanzania inakopa kwa Sababu ina Uwezo wa kulipa

    Duh, Siyo kwa sababu zinahitajika ili tufanyie miradi ya maendeleo! Ila tumejiona tunaweza kulipa hivyo tukope
  9. T

    JamiiForums Tanzania Dunia inadaiwa na nani?

    Yaani kuna wajinga wana mamlaka ya kuchapisha hela halafu wanazikopesha. Na wanadai na riba juu wakati sisi huku chini kupata hiyo buku mpaka upambane. Ko ndiyo hivyo. Na hii ni hatari sana ipo siku kwa kadri deni linavyoendeleakuwa kubwa uchumi wa dunia utaanguka
  10. T

    JamiiForums Tanzania Msipotoshe kuhusu Papa na ndoa za jinsia moja

    Yaani hii ruhusa ya papa, kuruhusu ndoa za jinsia moja kubarikiwa ni mwiba mchungu sana kwa wakatoliki. Tulipokuwa tukiwaambia huyo kiongozi wao anamwakilisha shetani wakasema tuna wivu, haya sasa yako peupe
  11. T

    JamiiForums Tanzania Arusha: Kero ya Rushwa ya Mdau yamfikia RPC; aapa kutowaonea haya Trafiki wala Rushwa. Je, kauli za maapizo zinatosha?

    Things fall apart. Yaani yanayosemwa yangetekelezwa tungekuwa tuko nchi ya ahadi muda mrefu. Shida ni consume what we don't produce
  12. T

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika (AfCHPR) yaiamuru Tanzania kufuta Hukumu ya Viboko

    Kwa wafungwa ifutwe. Ila mashuleni ikifutwa hatuna watoto tena. Labda uletwe mfumo mwingine wa adhabu amabao pia ni mkali. Ila fimbo zifutwe halafu adhabu ziachwe void taifa litakuwa limeishia hapo
  13. T

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi

    Wewe naona umekomaa mpaka basi Yesu hakusema kwa kuwa dola itawaua mkae kimya. Alisema nimewaonya mnayepaswa kumwogopa. Msimwogope awezaye kuua mwili na asiweze kufanya chochote baada ya hapo, bali mwogopeni awezaye kuua mwili na roho akatupa katika Jehanum. Watumishi wote wanaoogopa kuzionya...
Back
Top Bottom