Na wewe unachoongea hukijui. Huyo mfanyabiashara anayeuza nje anafanya mazao yawe yana uhitaji mkubwa na unajua demand ikiwa kubwa na bei inapanda.
Sasa mipaka ikifungwa wahitaji sio wengi hivyo chakula kinashuka bei.
Mfano ulioutoa gunia la elfu 30 mkulima atakuja kununua debe elfu 30...
Niseme tu kuwa,aliyeko juu na anayesema hiki kibinafsishwe na kile kiwe hivi ndo TATIZO la msingi katika nchi hii.
CCM haina mawazo,hawezi kuongoza,kila kiongozi amebaki kuwa mlalamishi; hawawezi kuchukua hatua yoyote kwa lolote zaidi tu wanaloweza kukomba fedha,wizi na kutesa watu...
Kwani kosa lilianzia wapi mchezo wa leo?
Na ukirudi nyuma zile goli 5 yeye amehusika na mangapi.
Vuta kumbukumbu match na wazambia alihusika goli ngapi.
Kapombe anajua sana kuichomesha Simba.
Sijui haoni,hajifunzi. Sema ndo hivyo wakati wa usajili watu walisema sana kuhusu hizi mbavu mbili za simba ila ikawa kimya.
Zana ya kuvunia mpunga au ngano. Bei yake ikiwa mpya ni kama m70 hadi 90 kwa Tanzania.
Na hizi za kichina zinachoka haraka sana, ukitumia miaka 3 hadi 4 utamjua kila fundi baada ya miaka hiyo.
Ila inalipa sana ukiwa nayo
Kuna miaka kuanzia 2011 sikumbuki mwaka hasa,ilitokea ajali ya boti iliyobeba wanafunzi huko S.Korea.
Ilikuwa hivi,nahodha alienda ku-chill na wanafunzi akaacha chombo kinajiendea hadi kikagonga mwamba na watu walikufa.
Cha kushangaza hasa mshangao upo huku kwetu,waziri anayehusika na masuala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.