Recent content by The hammer

  1. The hammer

    Serikali haraka fungeni mipaka chakula kisiuzwe nje, machafuko na migogoro ya kivita viwape ari hiyo

    Na wewe unachoongea hukijui. Huyo mfanyabiashara anayeuza nje anafanya mazao yawe yana uhitaji mkubwa na unajua demand ikiwa kubwa na bei inapanda. Sasa mipaka ikifungwa wahitaji sio wengi hivyo chakula kinashuka bei. Mfano ulioutoa gunia la elfu 30 mkulima atakuja kununua debe elfu 30...
  2. The hammer

    Serikali imeanza kuingiza udini katika sera zake? Suala la masomo ya kiislamu na Divinity yanatoka wapi?

    Niseme tu kuwa,aliyeko juu na anayesema hiki kibinafsishwe na kile kiwe hivi ndo TATIZO la msingi katika nchi hii. CCM haina mawazo,hawezi kuongoza,kila kiongozi amebaki kuwa mlalamishi; hawawezi kuchukua hatua yoyote kwa lolote zaidi tu wanaloweza kukomba fedha,wizi na kutesa watu...
  3. The hammer

    Kero ya wauza maziwa Arusha kuweka maji na unga wa ngano

    Kinauzwa Shilingi ngapi na wapi vinauzwa
  4. The hammer

    FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

    Kwani kosa lilianzia wapi mchezo wa leo? Na ukirudi nyuma zile goli 5 yeye amehusika na mangapi. Vuta kumbukumbu match na wazambia alihusika goli ngapi.
  5. The hammer

    FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

    Kapombe anajua sana kuichomesha Simba. Sijui haoni,hajifunzi. Sema ndo hivyo wakati wa usajili watu walisema sana kuhusu hizi mbavu mbili za simba ila ikawa kimya.
  6. The hammer

    Nang'atuka kwani ualimu siyo baba yangu wala mama yangu

    Vipi uliishia wapi huu mpango wako
  7. The hammer

    INAUZWA Kubota inauzwa, ipo Morogoro

    Zana ya kuvunia mpunga au ngano. Bei yake ikiwa mpya ni kama m70 hadi 90 kwa Tanzania. Na hizi za kichina zinachoka haraka sana, ukitumia miaka 3 hadi 4 utamjua kila fundi baada ya miaka hiyo. Ila inalipa sana ukiwa nayo
  8. The hammer

    Nimeyatimba: Nimesex na mtu mwenye HIV, ni kipindi kigumu sana maishani mwangu

    Doooh! Pole sana,pole sana...Utafanikiwa kuwa kwenye 80%
  9. The hammer

    Simba acheni kumuonea Mangungu

    Kuna miaka kuanzia 2011 sikumbuki mwaka hasa,ilitokea ajali ya boti iliyobeba wanafunzi huko S.Korea. Ilikuwa hivi,nahodha alienda ku-chill na wanafunzi akaacha chombo kinajiendea hadi kikagonga mwamba na watu walikufa. Cha kushangaza hasa mshangao upo huku kwetu,waziri anayehusika na masuala...
  10. The hammer

    Nimechoka kuishi Bongo

    OK,nimekupata sana,nitakurudia kwa maswali mawili matatu baada ya mwaka au zaidi kidogo kama Mungu atajalia.
  11. The hammer

    Nimechoka kuishi Bongo

    Swali,kama halitaathiri uliyonayo. Kwanini Spain au France...au Uingereza kuna changamoto yoyote? Vipi na German kimaisha.
  12. The hammer

    Kati ya Mbeya, Iringa au Songea ni sehemu gani sahihi kuwekeza?

    Mtu unaweza kupata ekari 200 na kuendelea za kukodi?
  13. The hammer

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

    Haitasaidia na laana haitafika... Kuonesha huwapendi HAMAS omba kujiunga na jeshi la Israel ili ukawakabili Hamas huko Gaza
  14. The hammer

    Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Maelezo yako yote ni mazuri sana
Back
Top Bottom