Recent content by The hammer

  1. The hammer

    SI KWELI Arjen Robben amefariki

    Habari hizo si za kweli. Kuna vi-channel vya habari vinasambaza habari za uongo kila wakati hasa huko fb.
  2. The hammer

    Mahakama ya Afrika Kusini imetoa maamuzi ya Serikali ya Zambia kusimamia mazishi ya Edgar Lungu

    Huyo mdada mwenye uso mweupe na mikono music this ni ndugu yake Lungu?
  3. The hammer

    TANZIA Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Al-Waleed bin Khalid bin Talal, amefariki miaka 38 baada ya kuwa katika hali ya koma kwa zaidi ya miaka 20

    Hivi ukiwa kwenye koma,mwili unaendelea kukua na kupata changes mbalimbali kama balehe kama ulikuwa bado hujapata?
  4. The hammer

    Napataje barua ya uthibitisho wa safari? Ili kupata passport?

    Nchi ina mambo mengi sana hii. Yaani unafikiri unawaomba Visa.
  5. The hammer

    Mapendekezo yangu maboresho ya simba

    Wachezaji wanaotakiwa kubaki ni Camara,Okejefa,Mpanzu,Ahoua,Mukwala,Nouma, Ally Salum na Kagoma. Naamini wengine hapo wana uwezo mkubwa ila hawapati nafasi za kucheza michezo ya ushindani. Japo hao wanatakiwa waletewe watu wazuri zaidi yao wenye skills, Nguvu na kasi. Wachezaji wetu wengi si...
  6. The hammer

    Full Time: Yanga SC 2-0 Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 25.06.2025 | Yanga Bingwa

    Kuna namba mbili,tatu Hussein kuchoka sana,anaacha Spice hata goli la pili angeweza kuzuia,anaona adui anatafuta Spice yeye wala hushughulikia anakuja kugundua muda umemuacha Pia kiungo mmoja mkakati mwenye skills, energy,mbio na kasi kwenye kufanya transition timu inapopoka mpira kwenye eneo...
  7. The hammer

    Kuna kila dalili Marekani itajiunga na vita ya Iran-Israel. Rais Trump akatisha ziara ya G7

    Naona Iran anapewa jina baya ili apigwe. Vipi na wafadhili wa Isis,Boko Haram,Al qaeda na hili kundi linalosumbua Mozambique yamefungwa na nani? Kule Congo watu wanateseka lakini makundi ya kijeshi yanapata wapi silaha? Wafadhili wa M23 ni akina nani hasa? Tumeona Kule Mali,Bokina Faso n.k...
  8. The hammer

    Simba tunahitaji pointi moja(1) tu ili tufuzu robo fainali CAFCC, wewe je?

    Ikiwa group A ni kundi la kifo je group C,D na E wasemaje sasa. Bila kuficha group A ni group jepesi sana.
  9. The hammer

    Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024

    Nahisi tatizo ni kochi na sio wachezaji. Failure sina imani naye hata kidogo.
  10. The hammer

    Niagize chochote Dubai

    Hiring simu ni Samsung toleo gani? Simu his na infinix hot 50 ipi ni bora zaidi. Je,mtu unalipaje fedha hiya na anachukua wapi mzigo. Unable ndugu au agent Dar?
  11. The hammer

    Mfano wa ballot paper ya Marekani Je, kuna chochote cha kujifunza

    Wala hawachaguliwi na kikundi cha watu wachache. Kinachotokea ni ile wanaita "winner take all". Kwamba; Wananchi wanavyopiga kura katika jimbo flani,mshindi katika jimbo hilo huchukua kura zote za Electral College za jimbo hilo. Majimbo makubwa yenye watu wengi ina wajumbe wachache wa...
Back
Top Bottom