Wachezaji wanaotakiwa kubaki ni Camara,Okejefa,Mpanzu,Ahoua,Mukwala,Nouma, Ally Salum na Kagoma.
Naamini wengine hapo wana uwezo mkubwa ila hawapati nafasi za kucheza michezo ya ushindani.
Japo hao wanatakiwa waletewe watu wazuri zaidi yao wenye skills, Nguvu na kasi.
Wachezaji wetu wengi si...