Mm nafikiri aliyeleta thread chini yake ameweka logic yake
Kwa maoni yangu nafikiri golf ndo mchezo ambao unatumia akili kuliko nguvu ( mentality than physicality) na kwa kawaida matajiri ndo wanafikiria kuliko masikini
Kwa maana kwamba sisi masikini niwaoga sana wa kufikiria ndo maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.