Mbona huko Tanga lushoto watu wanapona Kama kawa,SEMA kibongobongo ukijitangaza kuvumbua kitu baadala ya kusapotiwa unaoelekwa selo na ndo maana wataalamu wanapiga kimya tu,wenyeji wao ndo wanaoneemeka.
Ni hivi,game ya Jana ya hao jamaa Astonvilla alipewa min. Minutes without a goal yes/no12.5 minutes,odd hapo ilikuwa ni 1.85.Sasa kwa hiyo game ungeweka yes ungelose maana Astonvilla alifunga goli dk. ya 12 tu baada ya kuanzia game.hivyo whole minimum without a goal imegoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.