Umekuja vizuri,analysis yako ipo sahihi,Japo inamapungufu ya Ubinafsi Tata,'NINGELIKUWA MWANACHAMA WA CHADEMA',ningeshauri Utata huo wa Utambulisho wa Itikadi yako Uutoe,au Unahtaji Kadi ya Uanachama iliuwe mwanachama wa chama Flani..?Amka,Upenzi/Uanachama udhihirika kwenye Kura,mengine Mbwembwe...