wapigwe chini 2 maana wanaitia hasara nchi unakuta shirika linajiendesha kwa hasara na kutumia pesa ya wananchi kujilipa mishahara minono wakati halina tija.wakatwe hakuna namna
swali langu kwa magufuli. ni kitu gani atafanya kuhakikisha watumishi wa serikali wanalipwa kulingana na elimu/ugumu wa kazi na sio wanasiasa ambao hawana utaalam wowote mf.wabunge wanalipwa mishahara mikubwa kuliko wataalam wetu nini atafanya ?atuambie
haki iko wap kama tembo wanauawa kila siku meno yanaenda ughaibuni,twiga wanapanda ndege watuhumiwa wanaangaliwa .uyu ku2mia fisi akiwa hai hata elimu hana hajui kama kosa uku tatitz likiwa ni kujikwamua kutokana na umasikin ulosababishwa na ccm unamhukumu miaka yot hiyo.mungu huwa analipa hapa...
Umeshikiwa akili.Nchi inadaiwa trion 40 wakati huo huo pesa za madin,utalii na rasilimali nyingine wanagawana mafisad ndani ya serikal afu unasema serikal imefanya maendeleo.yani unachokiona ni kama asilimia 10% ya pato limetumika kufanya hicho unachokiona afu about 90% wanalamba afu unasifu...
Well done!
Haya mambo ndo watu tunataka tuyaone kwa wasomi wetu sio kuwa mazuzu bila kuonyesha michango yao katk jamii.
Nasema tena well done pambaneni mpaka kieleweke
Itakuwa ni fedheha na kuendeleza kiburi walichonacho ccm kama tutawarudisha madarakani tunashuhudia madudu mengi yanafumbiwa macho kwa sababu ya kulinda chama.Watanzania lazima tufike mahali tuwe na maamuzi sahihi mm kwa upande wangu sina chana ila siko tayari kuipa kura ccm kutokana na...
maguful atashindwa kuyatimiza anayodhania atayafanya kutokana na kuwa ndani ya mfumo mbovu wa ccm.mfano tuliona walivyo haribu mchakato wa katiba kwa kutetea maslahi yao binafsi na ya chama na miongoni mwa waloharibu ndo anaenda kuwa makamu wa raisi kama watashinda unategemea jipya gani kama sio...
Hakika hizi dharau za ccm tufike mahal tuzikatae huyu mama kama alishindwa kuwapatia wananchi katiba waliyoitaka na badala wake wakawa wanapitisha masuala kwa masilai yao na chama chao na kwa mbwembwe bila kujal masilai ya taifa hakika hatotufaa ata kwenye nafasi hii ya umakam wa rais, hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.