kuna mambo yanachanganya sana hapo, kama
ukifikiria kwa kina, uamuzi uliofikiwa, na namna
maazimio yalivyochezewa, na hatimaye hata viongozi
wetu wa upinzani kukubaliana upande wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) , inanipa hofu kubwa, na hii
itawaaminisha wananchi kuwa hakuna aliyekosea,
bali wachache...