Hilo ni kweli. Lakini Je umaarufu wake ni kinga dhidi ya uvunjaji sheria!? Sheria ya kubagua hadhi ya mtu haipo Duniani. Kama anaamini hakustahili hiyo adhabu basi akate rufaa.
Utaratibu ni kwamba Wakati wa kuunda Bodi Waziri anapeleka majina yasiyopungua matatu kwa nafasi ya Mwenyekiti na Majina ya Wanaopendekezwa kuwa Wajumbe wa Bodi
Wote hao wanafanyiwa Vetting
Baada ya hapo Rais anateua mwenyekiti kutoka hao watatu au anakataa wote na kuteua anayeona anafaa
Majina...
Uko sahihi
Mama ameongea ukweli. Yeye kama mama na kama Bibi anaangalia maisha ya hao wasichana baada ya kuacha kucheza mpira.
Sisi tunasema amewadhalilisha lakini moyoni tunaamini anayosema.
Ndiye Waziri mwenye dhamana So ndiyo kazi yake
Rais hawezi kuzungumzia jambo moja kila siku wakati mawaziri wapo
Actually ni sahihi kwa waziri kulivalia njuga
Nadhani wameitikia vya kutosha. Hii awamu ya watu wenye umri mkubwa na wagonjwa. Hao wote wako hatarini na mwitikio kwa kituo nilichochanja ni mzuri
Labda tusubiri wahusika after a week or so watupe mrejesho kitaifa
Leo nimebahatika kupata chanjo katika kituo cha jirani. Vitu viwili ambavyo nimeviona na nadhani kuna haja ya wahusika kuvifanyia kazi ni hivi
1. Booking
Jana nilifanya on-line booking na kuweka tarehe ya leo katika kituo nilichochagua
Nilipofika kituoni nikakuta hawana taarifa yoyote ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.