Hakuna kitu kinakatisha tamaa kama kufanya kazi ambayo unatishiwa kufukuzwa kila siku. Hali hii inauwa kabisa ubunifu na uchapa kazi maana huna uhakika na kesho yako.
Au ulishawahi kuwa na cheo au nafasi ambayo kila siku unatishiwa kutenguliwa?,
Katika sekta ya elimu kuna cheo fulani leo...
Siyo kweli, ukisema hivyo maana yake hata sheria za kifizikia zinazotawala maisha ya mwanadamu hazina maana. Hayo maneno kutoka kwa mhubiri hujayaelewa vizuri.
Nakuelewa sana. Watu masikini ni hatari sana. Umasikii umefunika kabisa ufahamu wao ,wala hawana uwezo ya kubaini ulaghai uliojificha katika siasa za huyu jamaa.
Hivi vituo viko nchi nzima au?
Lengo hasa ni nini?
Sifa za kufanya kazi kwenye vituo hivi ni zipi?
Kiongozi wa kituo hiki anateuliwa na mamlaka ipi, je anakuwa na sifa zipi za kimuundo na kitaluuma?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.