Recent content by The golden

  1. The golden

    Je ulishawahi kufanya kazi au kuwa na cheo ambacho kila siku unatishiwa kufukuzwa au kutenguliwa?

    Hakuna kitu kinakatisha tamaa kama kufanya kazi ambayo unatishiwa kufukuzwa kila siku. Hali hii inauwa kabisa ubunifu na uchapa kazi maana huna uhakika na kesho yako. Au ulishawahi kuwa na cheo au nafasi ambayo kila siku unatishiwa kutenguliwa?, Katika sekta ya elimu kuna cheo fulani leo...
  2. The golden

    Paul Kagame aliwahi kusema anataka kumpiga Kikwete

    Mbona hueleweki wewe?
  3. The golden

    Mbona viongozi wa Chadema Wamekazana kufanya mahojiano kwenye TV Rafiki za CCM?

    Huyu jamaa hana content kabisa. Uzi gani sasa huo ameandika?
  4. The golden

    Kabla ya maisha kuwapiga Watu wengi Knockout, wengi walifikiri wakifika miaka 30 wangekuwa na nyumba na Gari

    Siyo kweli, ukisema hivyo maana yake hata sheria za kifizikia zinazotawala maisha ya mwanadamu hazina maana. Hayo maneno kutoka kwa mhubiri hujayaelewa vizuri.
  5. The golden

    Wakuu naomba mwenye dua ya Novena anisadie

    Kuna watu wana nia mbaya na maisha yangu. Nataka kusali dua ya Novena ili nipite salama katika jaribu hili.
  6. The golden

    Ni nchi gani Duniani ambayo spika wa bunge na Jaji Mkuu huambatana na Rais kila mahali?

    Hapa kwetu kuna maajabu sana. Kuna mambo yanashangaza mno.
  7. The golden

    Huku mtaani kwa sasa hakuna mwanasiasa maarufu kuliko Makonda

    Nakuelewa sana. Watu masikini ni hatari sana. Umasikii umefunika kabisa ufahamu wao ,wala hawana uwezo ya kubaini ulaghai uliojificha katika siasa za huyu jamaa.
  8. The golden

    DOKEZO Waziri wa Elimu: Prof. Mkenda, kituo cha Walimu (TRC) Mawenzi Moshi Manispaa wanakusanya michango kutoka kila shule bila kibali chako

    Hivi vituo viko nchi nzima au? Lengo hasa ni nini? Sifa za kufanya kazi kwenye vituo hivi ni zipi? Kiongozi wa kituo hiki anateuliwa na mamlaka ipi, je anakuwa na sifa zipi za kimuundo na kitaluuma?
  9. The golden

    Choo kinarudisha ndani kabla hata hakijatumika

    Hii ni public toilet, ni cha kukaa.
Back
Top Bottom