Kwanini kujenga ukweni ni vibaya mkuu? Mimi nina mpango huo siku za mbeleni maana kwetu mambo 'safi kiaina' ila mke wangu akienda kwao mpaka najisikia vibaya wanapolala watoto wangu maana ni nyumba mbavu za mbwa. Kuna ubaya gani nilijenga nyumba ndogo ya 15m Kwa mfano. Maana kwao hakuna mwenye...
Udogo wa mshahara unachangia pia ndo maana binti anaona bora kazi ya baa huko hakosi tips Kwa walevi mpaka elf 20 Kwa siku! Sasa mshahara wa house girl hauzidi laki Kwa mwezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.