Recent content by The Father of All

  1. The Father of All

    Baada ya kujitenga na mirathi ndugu zangu wamenitenga

    Watakapoanza kugombanaia mali waakuita. Nawe, uwatenge ili usijichafue.
  2. The Father of All

    Wanasiasa wachunguze hii ya mstuko wa moyo isijekuwa ni mstukizo wa moyo

    Katika awamu ya sita, wanasiasa watatu waandamizi wamekufa kwa 'mstuko wa moyo' au kuugua ghafla Alianza Job Ndugai. Alifuata Jenista Mhagama. Na sasa Wiliam Lukuvi. Je, walikuwa wanaugua kwa muda mrefu wakaficha au? Nani atafuata? Kunani?
  3. The Father of All

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Tungoje akifa maza tuone kama utayasema haya. Kweli mwenye mapenzi haoni ingawa macho anayo!
  4. The Father of All

    Tanzania Yatumia Bilioni 23 Kuagiza Maziwa Nje Ya Nchi

    Ni jambo la kumshukuru mheshimiwa rais daktari profesa Samia Suluhu Hassan kwa yote
  5. The Father of All

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Ndo kizazi cha mtandao mwanangu
  6. The Father of All

    Wasioamini uwepo wa Mungu wasibezwe, ila nao wasituone sisi tunaoamini kama tumechanganyikiwa

    Kila mtu ana haki ya kuamini au kutoamini anachotaka. Ni uzwazwa kulazimisha wote tuamininkitu kimoja.
  7. The Father of All

    Asiyekuwepo na lake halipo Samia kukwepa kumbukizi la Magufuli

    Kwa namna hayati John Pombe Magufuli alivyomtengeneza Samia Suluhu Hassan kIsiasa, wengi walidhani angekuwa mstari wa mbele kuhudhuria kumbukumbu yake. Kweli, binadamu tu viumbe wenye kusahau kirahisi na haraka. Kwanini Samia hakuhudhuria kumbukumbu ya mwendazake? Ama kweli, asiyekuwepo na...
  8. The Father of All

    Je, unajua wayahudi wamechangia pakubwa maendeleo ya technolojia urusi?

    Wewe umechangia nini na hii inatusaidia nini? Miafrika kwa kushupalia
Back
Top Bottom