Recent content by The Farmer TZ

  1. T

    MSAADA: Nashindwa ku-log in kwenye akaunti ya HESLB

    Naomba msaada wakuu Najaribu kuingia kwenye account ya HESLB lakini inagoma, ni tatizo la wengi au ni miimi pekee.
  2. T

    Msaada, kuhusu Kusoma CPA

    Fungua hii link. ALL BOOKS: NBAA TZ
  3. T

    Msaada, kuhusu Kusoma CPA

    Module E hatuna siku hizi, tuna Intermediate level Masomo 6, Ishu ya materials ingia online NBAA kuna textbook & syllabus nadhani nitakuongoza vizuri Masomo ya kuanza nayo, hapo jiangalie mwenyewe ila huwa tunapenda kuanza na module tough ili tupate nafasi nyingi za kurudia Incase unakamatwa...
  4. T

    Msaada: Tofauti ya Bsc. In Chemistry- UDSM na Bsc. In Chemistry- MUCE.

    Mkuu angalia admission book ya TCU, zote zipo Bsc. Education na Bsc. In Chemistry- MUCE, Mtoa made yupo sahihi,
  5. T

    Kwa Continous au Graduate wa Bsc. In Chemistry

    Habari wakuu naomba kufahamu vitu vifuatavyo: 1. Objective 2. Career opportunity ya hii course 3. Uhusiano wake na Course ya Pharmacy 4. Kuna Bodi ambayo inasimamia hii kitu
  6. T

    Kwa Continous au Graduate wa Bsc. In Chemistry

    Habari wakuu naomba kufahamu vitu vifuatavyo: 1. Objective 2. Career opportunity ya hii course 3. Uhusiano wake na Course ya Pharmacy 4. Kuna Bodi ambayo inasimamia hii kitu
  7. T

    Msaada: Tofauti ya Bsc. In Chemistry- UDSM na Bsc. In Chemistry- MUCE.

    Boss kama sijakupata vizuri, unaweza weka sawa maelezo
  8. T

    Msaada: Tofauti ya Bsc. In Chemistry- UDSM na Bsc. In Chemistry- MUCE.

    Ok, ila nilikuwa ninawasi labda Bsc. ya MUCE itakuwa specialized kwenye Education
  9. T

    Msaada: Tofauti ya Bsc. In Chemistry- UDSM na Bsc. In Chemistry- MUCE.

    Habari wakuu naomba kufahamu kama hizo course zinatumia mtaala mmoja,
  10. T

    ATEC II & CPA Review Classes: Covenant OR Cornerstone?

    OK,Ahsante mkuu...Ila kama darasani ni Centre gani itamfaa?
  11. T

    ATEC II & CPA Review Classes: Covenant OR Cornerstone?

    Habari Wakuu nina mdogo wangu anataka kufanya class review ya ATEC II, kwa Dar Es Salaam ni centre ipi itakuwa poa kwake kati ya Covenant na cornerstone?
  12. T

    Drip irrigation system-Gharama

    Mtafute huyu jamaa 0744 989 483 kutoka Agro-Africa
Back
Top Bottom