Ukianza kupoteza wazazi au walezi ndo akiri itaanza kuamka na utatambua kuwa umekuwa .
Kuna wakati unapata changamoto na unakuwa unahitaji japo ushauri tu wa wazee lakini unagundua walio kuwa wanakupa ushauri konki haupo nao tena .
R. I. P my lovely uncle[emoji24]
Hivyo unapingana na ukatoliki kwa kuwa unapinga mitazamo ya wakatoliki wenyewe, nenda kasilim tu mkuu
Au utuambie unachokipinga ni kipi kwa kitima, au anayo yakemea hujayaelewa? Mboga mboga mnamatatizo ya akiri bila shaka
Uchawa upo enzi na enzi, hata watemi wa zamani walikuwa na machawa, wakaja wakoloni wakapata machawa, mwafrika mwenzako anakuuza kwa mzungu hata mauti ikukute yeye anachekelea tu.
Hata kwenye familia zetu kuna machawa wa baba na mama,enzi hizo chochote mkifanya nyumbani pasipo uwepo wa...
Zipo stationary,siku izi ujanja mwingi,lakini wahitinu wengi vyeti vipo laminated na wapo maofisini [emoji3][emoji3]
Hawa wezi wa siku izi na wana sheria uchwara wana tafuta mbinu za kupiga watu na kufanya mambo yawe magumu
Ila ule mhuri wa moto huwa unafutika ukilaminet ,mi nili laminate tin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.