comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,447
- 11,504
NAONDOKA NA HII ✅Duh miaka 35 mbona mtu mdogo sana ndio kwanza anapaswa kuanza kuoa.
Mimi kaka angu pamoja na kuwa na akili sana darasani, amesota (sio per-se) ila ile potential yake alikuwa hajaifikia. Kuanzia 35 ndio mambo yakaanza kunyooka baada ya kuondoka kwenda nje.
Now he’s 37 mambo ni mazuri hadi yeye anakiri.
Mwaka mmoja au miezi kadhaa inaweza kutosha kufukia mashimo ya makosa, kikubwa ni lazima kufanya kitu tofauti na ulivyokuwa unafanya kawaida.
Badala ya kutishana hebu tutiane moyo wakuu.
