tanzania taifa ililopoteza mwelekeo, matumaini hayapo tena juu ya
​
1;maisha bora,
2;huduma za afya bora,
3;elimu bora,
4;miundombinu bora,
5;nishati bora,
6;unafuu wa gharama za maisha
ni lini watanzania wenzangu tutachukua hatua dhidi wale waliolihujumu na wanaolihujumu taifa na...