Majibu ya Shy-rose Bhanji kwa US blogger juu ya JK

Status
Not open for further replies.
Tatizo la nchi yetu utasikia sasa hivi vikwazo atakavyoanza kuvipata huyu dada, kama anafanya kazi hata kama ni private watajaribu kupeleka mkono, kama anafanya biashara, timu kubwa ya kuchunguza kama analipa vizuri kodi itaundwa. Hivi tuseme Mungu katuchukia kiasi hiki mpaka kuiacha tume ya Taifa ya uchaguzi ifanye haya iliyoyafanya kuhusiana na urais wa kikwete? Sitaki kujificha sana NINAMCHUKIA SANA KIKWETE
 
Shyrise

Naona Unatafuta Ubunge wa Kuleuliwa kwa Nguvu zote. Mbona Hutaki kujifunza kwa yaliyokutokea .......hao CCM Hawakutaki

Achana na Siasa, fanya kazi yako hapo NMB, Nenda Kwako Kalale.......shauri yako.

Watakumaliza hao, they gonna eat U.

''Narudia They Gonna Eat U''
 
Mtoto wa Mama: Imeandikwa kwenye vitabu vitakatifu hata ' Malaya ' atauona Ufalme wa Mungu kabla yako. ..
 
Snitch tu huyu shy-rose.,mbona alipokuwaga na madaraka alikuwa hachongi, now kwa sababu hana cheo ndo anajifanya anajua kufungua domo...angepewa viti maalum angeongea huyu.
Acha kuropoka Msarendo, eti wewe ni "JF Senior Expert Member?". Nadhani JF moderators wanagawa hovyo hizo title kama njugu. Kwa faida yako na wasomaji wengine, SNITCH ni mtu anayewasemea wenzake kwa polisi, mamlaka au watu wengine kwa siri bila ya watu hao kujua. Ni snake, back-biter etc. Shyrose Bhanji ameonesha kwa vitendo she is no snitch, kwani badala ya kusema chini kwa chini, nyuma ya migongo ya watu na kunong'ona kama makada wengine wa CCM, yeye amekuwa muwazi na kusema vitu hadharani. Snitch hata siku moja hasemi mambo hadharani na hakwambii ukweli usoni kwako. Au huelewi maana ya neno lenyewe, maana Kiingereza, tena slang, si lugha yetu ya kwanza.Kuhusu "point" yako ya pili eti Shyrose ansema hayo kwa kuwa hana cheo tena CCM, je ni cheo gani ambacho aliwahi kuwa nacho CCM na sasa hana? No research, no right to speak. Wewe kama ni "senior expert member" kweli basi expertise yako ni ya kuropoka. Long live msema kweli jasiri Shyrose Bhanji!
 
Hivi kweli mnaweza kupoteza muda wenu kujadili mtu! Kweli bado tupo mbali na Ukombozi wa hili Taifa

Ikiwekwa post ya personalities kama Shyrose Bhanji au Zitto Kabwe humu watu wataijadili wiki nzima, itapata maelfu ya views. Weka thread ya national issues kama kuporomoka kwa elimu, mwelekeo wa uchumi wa taifa, zungumzia mfumuko wa bei, kushuka thamani ya shilingi, tatizo la njaa nchini, etc, watu wanazipotezea. I guess inflation is not a sexy topic as Shyrose Bhanji is to many "Great Thinkers' in Jamii Forums. Sad but true!
 
Ndiyo nyie watu mnaogopa kuambiwa ukweli. Mtu akisema ukweli maneno yanaoyoongelewa chini kwa chini mnasema ana hidden agenda au secret motive. Shyrose's motive is clear, she loves CCM, she believes in JK, but she wants him to know the truth about what is being said against the president, CCM and its government. The truth of the matter is that we, the people, are unequivocally saying that there is a leadership vacuum, the President has been a big letdown and his popularity has taken a major dip.

Viongozi wasema ukweli ndani ya CCM kama Samuel Sitta ndiyo maana wanapigwa vita sana. CCM ni chama kilichojaa wanafiki, kazi yao ni kuongea mambo chini kwa chini. Hawana ujasiri, a party full of sycophants (those who seek to win favor by flattering influential people, in this case JK kwa kutomwambia ukweli).

In your own wisdom, there is no mechanism thru which JK can gather sentiments of his subjects! It is clear that Shy-Rose feels betrayed because she expected that her outspokenness would earn her a position within the ruling circle. The timing says it all about her sense of doscontent. The question is: At what point in the Kikwete presidency, did she realize that JK was not up to the billing? Why didn't she make her feelings known well before the last elections? We highly doubt her sincerity.
 
In your own wisdom, there is no mechanism thru which JK can gather sentiments of his subjects! It is clear that Shy-Rose feels betrayed because she expected that her outspokenness would earn her a position within the ruling circle. The timing says it all about her sense of doscontent. The question is: At what point in the Kikwete presidency, did she realize that JK was not up to the billing? Why didn't she make her feelings known well before the last elections? We highly doubt her sincerity.

I agree with you, perhaps Shyrose feels a great sense of personal injustice hence her decision to speak out in public. Perhaps she feels betrayed, unappreciated, ignored and repeatedly passed over by her beloved party. She has worked her socks off, she has struggled and sacrificed for many years for recognition and a national leadership position in CCM, but all in vain. She has watched others come in and given positions of power and influence in CCM unfairly on a silver platter. E.g January Makamba became an MP, chairman of a powerful Bunge committee, member of CCM's central committee and Secretariat, within months simply because he is the son of CCM's then secretary general and was an aide to the president.

No one said life is fair. Shyrose needs to stop whining. She must make tough decisions and leave CCM if she wants to achieve her goals of becoming an MP. It's now or never... Such is the bitter truth.
 
Kaka .....shy-rose banji ni mfano wa kuigwa ndani ya chama cha mapinduzi na pia ni mfano kwa wanaharakati wote kwani anauwezo wa kusimamia kile anachokiamini ni sawa,....!!!
Ni kweli chama hiko kimeoza lakini kujitokeza kwake nakuwa side ya wanyonge ambao ni watanzania wengi ni ujasiri wa khali ya juu na hii imekuwa ni tofauti na ambavyo tumezoea dhidi ya makada wengine wa chama hiko,...! Kama umesoma majibu yake vizuri utagundua mwanadada huyo ni mwanamke makini na jasiri,....

Take this;...
“You can please some of the people some of the time all of the people some of the time some of the people all of the time but you can never please all of the people all of the time.”
―
Abraham Lincoln
 
angepata kiti maalumu angesema hayo?

Huo ni mtazamo wako ambao unaishia hapo pasipo kuwa na jibu. Laiti tungekuwa na uwezo wa Malaika hakika swali lako lingekuwa na jibu. Hivyo, basi hatutakiwi tuhoji ambako uwezo wetu hauwezi kufika, bali tujadili hoja yake Shy-Rose dhidi ya changamoto aliyopewa na US bloger. Maana hakika swali lako linatulazimisha tukae kimya pasipo kujadili hoja kwa vile hatuna majibu yake. Hata hivyo, binafsi swali hilo sioni umuhimu wake hapa, tofauti na kuziba hoja za wana jf kwa mgongo wa eti angepewa viti maalumu. Tuache kwawa na itikadi kwenye masuala ambayo hata hatuna nguvu ya hoja. Kumbuka kwamba, Shy-Rose huyo huyo aliwahi kuwa na mtazamo hasi wa viongozi wengine wa juu hata kabla ya uchaguzi wa mwaka jana. Mfano mzuri ni pale aliposema mstakabali wa chama chake na Mzee Msekwa kukurupuka kujibu pasipo hoja ya msingi eti kwa kigezo kwamba, wanachama wanatakiwa kusemea masuala yao kwenye vikao vya chama na siyo kwenye majukwaa kama fb na ama jf/mikutano ya hadhara. Hivyo, anaposema yeye ni mzalendo ama yeye kusukumwa na nguvu ya kuona siasa inaboresha maisha ya watu kupitia maamuzi mazuri binafsi nakubaliana naye. Sababu kuwa ni kuona kwamba, yeye si mnafi kama hao wengine. Zaidi hata yeye alitoa angalizo pia, kwamba, wasomaji wa "comment" yake pale fb haikusukumwa na yeye kuukosa ubunge kupitia viti maalumu. Tukumbuke pia kwamba, Shy-Rose aliukosa ubunge kwa kukataliwa na wapiga kura wengi siyo Mhe. Kikwete pekee kama sikosei.
 
Mkuu unaweza kuthibitisha kuwa ccm inaweza kuwa na wanaharakati?

Kaka .....shy-rose banji ni mfano wa kuigwa ndani ya chama cha mapinduzi na pia ni mfano kwa wanaharakati wote kwani anauwezo wa kusimamia kile anachokiamini ni sawa,....!!!
Ni kweli chama hiko kimeoza lakini kujitokeza kwake nakuwa side ya wanyonge ambao ni watanzania wengi ni ujasiri wa khali ya juu na hii imekuwa ni tofauti na ambavyo tumezoea dhidi ya makada wengine wa chama hiko,...! Kama umesoma majibu yake vizuri utagundua mwanadada huyo ni mwanamke makini na jasiri,....

Take this;...
“You can please some of the people some of the time all of the people some of the time some of the people all of the time but you can never please all of the people all of the time.”
―
Abraham Lincoln
 
Nadhani wangeyaheshimu mawazo yake na kuyafanyia kazi, na kuona kama kweli kuna ukweli ndani yake au la. Pili ni jambo jema kuwa na watu wanaoweza kuraise issues zinazowahusu wao bila woga na kwa manufaa ya chama. Labda watasema ingefaa afuate taratibu zao za ndani jinsi ya kuwakilisha mawazo yake, lakini mpaka ifike hapo, inaonekana labda alisema hakusikika ndio maana akatumia njia nyingine mbadala. But point remain the same, wamsikilize na kuzifanyia kazi habari zake hizo.
 
You guys are you really serious from my understanding it appears both Shyrose and US Blogger are just a mere bootlicking and political drama individuals.

Martin Lutherking once said if you want to bring change you have to be part of the movement. I will like to ask Shyrose if you are unhappy with the way things are going in the government and your party WHY DON'T YOU DITCH THE PARTY AND JOIN THE MOVEMENT OUTSIDE.

Nelson Mandela once said you cannot stay quiet or be a part of the regime and claim to be a revolutionist. You are either with CCM (Chama cha Mafisadi) or against them (activist). Rather than that you are just a political opportunist who is looking for a weakness to score some political points and that is simply HYPOCRISY .
 
Big up Shy-Rose for raising these critical issues. I'm not surprised seeing 'chicken-headed haters' taking it personal, eti ooh huyu malaya....umalaya unahusiana nini na issues alizoraise? Jadili hoja, usijadili mtu. <br />
<br />
Let's be real great thinkers, this is a blow below the belt to JK.
 
Ikiwekwa post ya personalities kama Shyrose Bhanji au Zitto Kabwe humu watu wataijadili wiki nzima, itapata maelfu ya views. Weka thread ya national issues kama kuporomoka kwa elimu, mwelekeo wa uchumi wa taifa, zungumzia mfumuko wa bei, kushuka thamani ya shilingi, tatizo la njaa nchini, etc, watu wanazipotezea. I guess inflation is not a sexy topic as Shyrose Bhanji is to many "Great Thinkers' in Jamii Forums. Sad but true!

Hatuna watu na ndio maana wanasiasa wanatufanya kama wanavyotaka, wengi bado sana akili zao
 
Tatizo la watawala wetu wengi hupenda kusikia na kuambiwa yale wayapendeyo ama kusifiwa ata kama wameboronga, lakini ili kiongozi upige hatua unahitaji mtoto akwambe "MFALME YUKO UCHI", haijalishi malengo yake katika kukwambia lakini aseme kile kilicho kweli akionacho pasipo kujipendekeza.

Kwa hili nadhani Shy-Rose amejaribu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom