Walichofanya hiyo taasisi ni overreaction.
Maamuzi ya busara ni kuweka options zote. Wangeamuru tu kuwa hizo biashara ni lazima kuweka huduma za kununua huduma ya chaneli moja moja.
Na hizo huduma za bundle/kifurushi kama vile zilivyo ziendelee kama moja ya options hizo.
Leo ndio nimejua kwamba barua ya kujiuzulu ya Spika wa Bunge la JMT, inaelekezwa kwa katibu mkuu wa chama chake kwanza, kisha nakala kwa katibu wa bunge
Ngoja,
Nchi ina serikali 2.
Moja ya Muungano, moja ya Zanzibar.
Sasa mambo ya kiserikali na kiutawala yasiyohusu muungano na yasiyo ya zanzibar, ni ya serikali ipi au uongozi upi?
Makampuni ya simu hayafanyi biashara moja. Corporation nyingi hazipati faida kabisa kwenye biashara fulani, hivyo wanatumia biashara hiyo yenye hasara ku-compliment kule ambapo faida inaingia. Mfano, wanavyo-'promote' ukinunua kwa mobile money utapata na benefits za ziada ni njia ya kuongeza...
Sometimes sheria huwa na 'cliffhangers'...
Hakuna kielelezo kilichokamilika kuhusu ishu ya baraza. Tukio hili ni jipya, kwa hiyo suala ni la kubishania mahakamani, ili mahakama itoe tafsiri ya mwisho kwa ajili pia ya huko mbeleni.
Ni kama ishu ya presidential impeachment ya USA, katiba yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.