Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Hii trend ya hivi sasa ya gharama za vifurushi hatukuiona ikipigiwa kelele awamu iliyopita, lakini ninyi mlikuwa hapohapo kwenye nafasi mlizonazo Sasa.
Ukiona kelele zinakuja kwa kiasi hiki ndani ya saa 24 tambua aidha Wapo watu hasa watoa huduma wameamua kwa makusudi kutingisha kiberiti kwa kupandisha gharama au ninyi mlipotoa ahadi yakushisha vifurushi mliwadanganya wananchi au kuna maamuzi mnafanya bila kufanya utafiti na mashauriano yakutosha.
Hawa wanaolalamika ni wananchi na wanasiasa wakubwa nchini, msiwapuuzwe maana wanaweza kuwang'oa hapo mlipo.
Nayasema haya kwa kuwa natambua uwezo wenu wakutenda, haya mawimbi kaeni mwone namna yakuyakata kuondoa lawama zinazoendelea Sasa.
One more advice: Kama makampuni haya yanashindwa kuwasikiliza zungumzeni na TTCL washushe gharama za virushi kuvutia watu wengi kutumia ttcl hata kwakuwapa ruzuku itakayowasaidia kuimarisha huduma yao. Hii ni ambayo kutegemea msaada wa wahisani kwenye hii Vita nikuplan kufeli, wapeni kiburi TTCL kwenye bando mtaona hao wengine Kama wataendelea kuuza GB moja 3000.
Niwatakie Pasaka njema huku nikiwaombea msiathirike na ahadi ya Mhe. Rais ya kuapisha jumanne baada ya pasaka
Ukiona kelele zinakuja kwa kiasi hiki ndani ya saa 24 tambua aidha Wapo watu hasa watoa huduma wameamua kwa makusudi kutingisha kiberiti kwa kupandisha gharama au ninyi mlipotoa ahadi yakushisha vifurushi mliwadanganya wananchi au kuna maamuzi mnafanya bila kufanya utafiti na mashauriano yakutosha.
Hawa wanaolalamika ni wananchi na wanasiasa wakubwa nchini, msiwapuuzwe maana wanaweza kuwang'oa hapo mlipo.
Nayasema haya kwa kuwa natambua uwezo wenu wakutenda, haya mawimbi kaeni mwone namna yakuyakata kuondoa lawama zinazoendelea Sasa.
One more advice: Kama makampuni haya yanashindwa kuwasikiliza zungumzeni na TTCL washushe gharama za virushi kuvutia watu wengi kutumia ttcl hata kwakuwapa ruzuku itakayowasaidia kuimarisha huduma yao. Hii ni ambayo kutegemea msaada wa wahisani kwenye hii Vita nikuplan kufeli, wapeni kiburi TTCL kwenye bando mtaona hao wengine Kama wataendelea kuuza GB moja 3000.
Niwatakie Pasaka njema huku nikiwaombea msiathirike na ahadi ya Mhe. Rais ya kuapisha jumanne baada ya pasaka