Kila siku najiambia ikitokea bimeoa basi lengo kuu litakua ni kujenga familia. Na kumuomba mungu watoto wawe ni Damu yabgu tu. Kuoa ili uwe unapata ngono kila siku ndio mambo yake haya.[emoji1787][emoji1787][emoji23]
Ndio maana ni bora uwe single au kuwa nao 3 plus ns unacheza kwa akili.
Mmoja ni risky sana. Mimi mwanamke akianza mawenge huwa nafanya mirroring.. unamuonesha vile anafanya.
Maana huwa hawafikirii. Wanajali hisia zao saaana kuliko sacrifice unazotoa.
And hamna kitu kinanuumiza mwanamke km...
Vitu kama hivi ndio mtajua kwann kuna ukewenza katika uislam... huwex ukanyimwa na wote.
Akikataa au sababu nyiingi unaenda kwa mwingine peace kabisa.
Nmejifunza hata siku moja mwanamke hatokaa amiendeshe kwa kutumia unyumba.
Unamgaslight jamaaa tu.. We huwa unakubaliana na kila unachoambiwa?
Kwanza mm naamini Mahari kama hizo ni human trafficking. Hata watumwa walikua hawauzwi bei hio.
Unalipa mahari yote hiyo alafu mtu akiingia ndani achague nn cha kufanya mara anune mara nn.
Uanaume sio kuvumilia ujinga na...
Una uhakika yupo kwa baba yake bro? Yaani mkeo umeoa Na anaenda kwa baba yake? Kufanya nn wakat kaolewa?
Mwanamke akijua we ni Boya anakutumia kwel kweli.. ebu muonyeshe vitendo huyo kuwa unaweza ukawa imara asipokuepo.
Fanya utafiti kama kweli anaenda kwa baba. Halagu test reaction yake Mara...
Wanawale hufanya viti kwa kujaribu mama unaruhusu kufanyiwa.. wakiona unaruhusu wanendelea na kufanya mengine mapya.
Hapo shida ni wewe bro.Uliruhusu yote hayo. Jamii imemuaminisha kwamba mwanaume bila sex haishi vizuri a ndio maana alianza kuotumia kukucontrol.
Mie nikiona tu anaanza kuleta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.