Huyu jamaa kwa niliyoyasikia hapa town ni kweli ana hali mbaya ya kiuchumi na hii kutokana na kuishi kama digidigi sahizi shauri ya Jiwe.
Hili Jengo la hotel mtu kwa nje anaweza kusema limeisha lakini kwa ndani inahitaji hata mwaka kulimalizia.
Nazitafuta sana hizi nyimbo za hii band.
Mwenye nazo naomba, nimejaribu kuzigoogle hazipo.
You tube zipo walizofanya 'live' jukwaani mimi nataka Original zao.
"Mji ule unameremeta umepambwa maua"
Mkuu RGforever , Ondoa kusema "masikini ndio tulivyo" Mimi naongelea ubaya wa kiatu kilivyo na bei ilivyo angalau kwa bei hiyo tungeona hata kiatu cha maana.
Au macho yangu mabovu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.